Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,988
If this rhetorical statement from you is true ( it does pose itself as such):
Then;
is negated;
is irrelevant;
is immaterial;
is the negation of negation.
Kwa hiyo... naomba kuuliza,
Je bado tuamini JK ni legelege kama tulivyokuwa tunahubiriwa na kundi la "wabadilisha fikra"?
Then;
Mkuu Field Marshall ES,
Nakushukuru kunisaidia kujibu hoja za wale wanaona ambayo wengine hatuyaoni... ati Mkuu wa Nchi ndiye Jaji pia, na Ndio Hakimu pale... Kisutu... ati mpaka wafungwe watuhumiwa wote ndio serikali itakuwa imefanya kazi.
is negated;
Ndio wale wanaosema uchaguzi huru na haki ni pale chama pinzani kinaposhinda tu... Tarime uchaguzi ulikuwa huru, Mbeya vijijini uchaguzi umeibiwa, daftari la kudumu la wapiga kura lina mapungufu, as if hili daftari limeandikishwa juzi, wakati lilikuwepo muda mrefu si wangefuatilia.
is irrelevant;
Ndio wale wanawapa kichwa CUF kwamba waende mahakamani kusema uchaguzi umeibiwa kura... si wakishinda mahakamani si watarudi kupigiwa kura tena,,, je watashinda...
Hivi wananchi wa tanzania ni wajinga kiasi gani? kuchagua watu ambao wanapatikana wakati wa uchaguzi tu.
is immaterial;
Tanzania yetu inasikitisha... nijuavyo mimi upande wa Serikali umekamilisha... si cheo cha Felesi kiko kikatiba in fact haitwi yuko ndani ya Serikali. Maana ana uhuru wa kukataa au kupeleka jambo mahakamani kulingana na anavyoona... ndio maana Hakumpeleka faili la Karamagi.
is the negation of negation.