Liyumba (wa BoT) na wenzake kizimbani Kisutu

If this rhetorical statement from you is true ( it does pose itself as such):

Kwa hiyo... naomba kuuliza,

Je bado tuamini JK ni legelege kama tulivyokuwa tunahubiriwa na kundi la "wabadilisha fikra"?

Then;

Mkuu Field Marshall ES,

Nakushukuru kunisaidia kujibu hoja za wale wanaona ambayo wengine hatuyaoni... ati Mkuu wa Nchi ndiye Jaji pia, na Ndio Hakimu pale... Kisutu... ati mpaka wafungwe watuhumiwa wote ndio serikali itakuwa imefanya kazi.

is negated;



Ndio wale wanaosema uchaguzi huru na haki ni pale chama pinzani kinaposhinda tu... Tarime uchaguzi ulikuwa huru, Mbeya vijijini uchaguzi umeibiwa, daftari la kudumu la wapiga kura lina mapungufu, as if hili daftari limeandikishwa juzi, wakati lilikuwepo muda mrefu si wangefuatilia.

is irrelevant;

Ndio wale wanawapa kichwa CUF kwamba waende mahakamani kusema uchaguzi umeibiwa kura... si wakishinda mahakamani si watarudi kupigiwa kura tena,,, je watashinda...
Hivi wananchi wa tanzania ni wajinga kiasi gani? kuchagua watu ambao wanapatikana wakati wa uchaguzi tu.

is immaterial;

Tanzania yetu inasikitisha... nijuavyo mimi upande wa Serikali umekamilisha... si cheo cha Felesi kiko kikatiba in fact haitwi yuko ndani ya Serikali. Maana ana uhuru wa kukataa au kupeleka jambo mahakamani kulingana na anavyoona... ndio maana Hakumpeleka faili la Karamagi.

is the negation of negation.
 
Mkuu salute, keep flowing...
Tunasubiri hizo charges za hawa jamaa
BTW: Hapa nilipo najifanya mzee wa breaking newz na info muhimu, kumbe nachungulia jf!


kama charges zenyewe ni hizi
They are being charged with causing the Government to lose over USD 150 million dollars in the construction of Central bank twin towers.

hakuna kesi hapo , kesi za hivyo zinaishia ya kwamba hakuna ushahidi wa kutosha. kama hamuamini subirini muone

UT
 
Kufuatana na barua ya wataalamu wa Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu ya Serikali, ameruhusu na/au kuidhinisha na/au kunyamazia ufujaji wa fedha za umma unaodaiwa kufikia Shilingi 522, 459, 255,000 katika ujenzi wa majengo ya Benki Kuu ya Tanzania yaliyoko barabara ya Mirambo, Dar es Salaam na Gulioni, Zanzibar. Aidha taarifa kutoka vyanzo vingine zinaonyesha kwamba mwaka 1998 kampuni ya Skanska Jensen ya Sweden ilituhumiwa kutoa hongo ya Dola za Marekani milioni 5 kwa Gavana Balali tuhuma zilizopelekea kampuni hiyo kupigwa marufuku kushiriki tenda ya ujenzi wa majengo hayo. Hata hivyo, katika mazingira yanayoashiria ufisadi mkubwa, kampuni ya Group 5 ya Afrika ya Kusini ambayo ni kampuni tanzu ya Skanska Jensen ilipewa tenda ya kujenga majengo hayo ya Benki Kuu

Chanzo: List of Shame - Orodha ya Mafisadi

Hapa ndio mahali nnaposhindwa kabisa kuielewa serikali yetu. Yaani wanataka kusema huyu Liumba (Director of personne and admin) aliruhusu majengo hayo yajengwe bila idhini ya kikao cha bodi ya wakurugenzi na hakukuwa na mtu wa kumstopisha?????? Hii kali...

Jmani mimi bado nataka nijue huu utaratibu wa Direrector of personnl kuhusika na masuala ya ujenzi wakati kuna technical director pale BOT (Anyways kipimdi hicho alihamishiwa Mwanza kwa miezi sita).

Halafu hii BOT kweli wamekaa kizembe zembe kama sio kifisadi. Yaani mpaka leo website yao inaonyesha GRAY MGONJA ni board member - Bonyeza hapa ujionee
 
Hapa ndio mahali nnaposhindwa kabisa kuielewa serikali yetu. Yaani wanataka kusema huyu Liumba (Director of personne and admin) aliruhusu majengo hayo yajengwe bila idhini ya kikao cha bodi ya wakurugenzi na hakukuwa na mtu wa kumstopisha?????? Hii kali...

Jmani mimi bado nataka nijue huu utaratibu wa Direrector of personnl kuhusika na masuala ya ujenzi wakati kuna technical director pale BOT (Anyways kipimdi hicho alihamishiwa Mwanza kwa miezi sita).

Halafu hii BOT kweli wamekaa kizembe zembe kama sio kifisadi. Yaani mpaka leo website yao inaonyesha GRAY MGONJA ni board member - Bonyeza hapa ujionee

.........you know why huyu jamaa alihamishiwa Mwanza..........anyway huyu jamaa ni shahidi mzuri sana kwenye huu ulaji.......
 
Hapa ndio mahali nnaposhindwa kabisa kuielewa serikali yetu. Yaani wanataka kusema huyu Liumba (Director of personne and admin) aliruhusu majengo hayo yajengwe bila idhini ya kikao cha bodi ya wakurugenzi na hakukuwa na mtu wa kumstopisha?????? Hii kali...

Jmani mimi bado nataka nijue huu utaratibu wa Direrector of personnl kuhusika na masuala ya ujenzi wakati kuna technical director pale BOT (Anyways kipimdi hicho alihamishiwa Mwanza kwa miezi sita).

Halafu hii BOT kweli wamekaa kizembe zembe kama sio kifisadi. Yaani mpaka leo website yao inaonyesha GRAY MGONJA ni board member - Bonyeza hapa ujionee


Mh. Nyambala,

Kuna walakini kidogo hapo, kwa maana maamuzi yoyote ya Bodi yanapewa baraka na Bodi Nzima ya Wakurugenzi. Bodi yoyote ni 'colegial' body na kama kuna makosa kwa pamoja bodi yote inapaswa kuwa mshukiwa.

Swali la kujiuliza, kwa nini bodi ya BOT ambayo ndo yenye dhamana ya uongozi isishtakiwe kwa kulitia hasara taifa?

Tukirudi kwenye suala letu hapa, naukubaliana na serikali kwamba huyo mshukiwa alikuwa anashikiria nyadhifa nyeti na kutokana na nafasi yake sishangai yeye kufikishwa mahakamani.

Pendekezo: Uteuzi wa nafasi zote za juu za serkali ziwe zinapitishwa na kamati husika za Bunge ikiwemo Uwaziri hili litachangia kuondoa wale wenye mawaa.
 
Hapa ndio mahali nnaposhindwa kabisa kuielewa serikali yetu. Yaani wanataka kusema huyu Liumba (Director of personne and admin) aliruhusu majengo hayo yajengwe bila idhini ya kikao cha bodi ya wakurugenzi na hakukuwa na mtu wa kumstopisha?????? Hii kali...

Jmani mimi bado nataka nijue huu utaratibu wa Direrector of personnl kuhusika na masuala ya ujenzi wakati kuna technical director pale BOT (Anyways kipimdi hicho alihamishiwa Mwanza kwa miezi sita).

Halafu hii BOT kweli wamekaa kizembe zembe kama sio kifisadi. Yaani mpaka leo website yao inaonyesha GRAY MGONJA ni board member - Bonyeza hapa ujionee
Yes Gray Mgonja bado ni valid board member mpaka waziri wa fedha atakapomteuwa Katibu Mkuu mpya wa Hazina by virtual of his oppointment. Mind well. mgonja ameenda likizo ya kustaafu, hii kesi ya matumizi mabaya ya madaraka haina uhusiano wowote na process ya kustaafu kwake na process ikishakamilika, ndipo ataondolewa kwa barua.
Tena hiyo process ikikamilika, MOF itabidi wamuage rasmi Mgonja kama Katibu Mkuu mstaafu. Mgonja ni Mgonja. Kustaafu ni kustaafu na kesi ni kesi.
 
Hongera JK na wote waliofanikisha hili. Angalau sasa tunaona.....

JK bado hatujaona chocote we mama vipi tena mbona unatuangusha mpira dakika 90 we unaanza kushangilia ushindi sekunde ya 3, bado tunasubiri mpaka mwisho tuone, tumechoka na viini macho kinanyamazishwa hiki kinaibuka kingine..
 
Fikra duni kila kona..

Hivi inaingia akilini mkurugenzi wa Utawala ahusike na wizi ktk UJENZI? Kuna wadau wamenitonya kuwa muungwana walishagambania 'mahali pa kupumzika' na huyu Pededzjee Liumba, predeszjee akaibuka kidedea, sasa ISIJE IKAWA ANALIPIZIA..
 
Kiasi cha pesa kinachohitajika kurejeshwa ni Tshs 221,197,299,200/= ambapo wawili hawa wanatakiwa kwa pamoja ili kupata mdhamana watoe nusu ya kiasi hicho juu.

Kaazi kwelikweli
Kwa tabia ya mswahili pesa yote ile, inawezakuwa ilisha kwenye matanuzi.
No investments.Mahakama inapo demand bail amount kama hiyo ya 50%,hapo ndipo majuto yanapoanzia.If what is said is true,kwamba huyo Liyumba alikuwa na maisha ya HOVYO,basi ataozea huko mahabusu.
SOMO HILO WAKULU.
 
.........you know why huyu jamaa alihamishiwa Mwanza..........anyway huyu jamaa ni shahidi mzuri sana kwenye huu ulaji.......


Ezactly na nikikumbuka vizuri hili sakata lilianza kuripotiwa kwa mara ya kwanza kama sikosei na huyu jamaa!!!!
 
Hivi jamani tukisimama na kupaza sauti sote kwa pamoja hawa jamaa wasulubiwe na tutaifishe mali zao zote wabaki watupu na kuwaacha kuna kitu kitakuwa kimehalibika?
Maana wakinyang'anywa mali zao zoote watajifia taratiibu kwa mateso kama huyo Liumba unamrudisha bush kwao huko akaishi na asivuke mjini yaani hakuna kukanyaga mjini.
Tunaweza kufanya hivyo haya mambo ya kesi yananimaliza ngungu tutupie Pinda's law kama ya wauaji Albino.
 
PCCB haina capacity ya prove allegation hizo. Ingekuwa simple kiasi hicho , Ndulu asinge commission experts to determine the actual costs za project. Kuna vitu vingi involved eg depreciation of TShs.
Approval za payment kwenye haya mashirika yetu hayafanywi na mtu mmoja. Board itakuwa imepitisha any variations za cost.
Ni KIINI macho.
 
Fikra duni kila kona..

Hivi inaingia akilini mkurugenzi wa Utawala ahusike na wizi ktk UJENZI? Kuna wadau wamenitonya kuwa muungwana walishagambania 'mahali pa kupumzika' na huyu Pededzjee Liumba, predeszjee akaibuka kidedea, sasa ISIJE IKAWA ANALIPIZIA..
Jamani issue hapa ni maslahi ya TAIFA!
 
Yaani cha kushangaza ina maana BOT imehusika na upotevu wa mahela mengi (221B) kuliko hata yale ya EPA (131B).
 
kama charges zenyewe ni hizi
They are being charged with causing the Government to lose over USD 150 million dollars in the construction of Central bank twin towers.

hakuna kesi hapo , kesi za hivyo zinaishia ya kwamba hakuna ushahidi wa kutosha. kama hamuamini subirini muone

UT

Mkuu UT....
Huu uliotokea sio uzembe, ni wizi!
Mkurugenzi wa utawala na meneja mradi hawawezi kuchukua tzs. billion 200 wenyewe.....labda waje na more convincing crap, but not this one!
 
Last edited:
Jamani issue hapa ni maslahi ya TAIFA!

Tungependa iwe hivyo..

Lakini najitahidi kuona ni kwa jinsi gani mkurugenzi wa HR anaingiajeingiaje huko kwenye ujenzi..Halafu wawe 2 tu..

Napenda kujikita kwenye maswali mazito na sio kupenda kuaminishwa..

Tuendelee na mjadala..
 
Tungependa iwe hivyo..

Lakini najitahidi kuona ni kwa jinsi gani mkurugenzi wa HR anaingiajeingiaje huko kwenye ujenzi..Halafu wawe 2 tu..

Napenda kujikita kwenye maswali mazito na sio kupenda kuaminishwa..

Tuendelee na mjadala..

Mkuu mtindio yaani hii ya Liumba na mimi inanipa shida sana kuamini na akam ni hivyo ndivyo BOT inavyoendeshwa basi kuna haja ya kutengua the whole BOT uongozi na kuleta consultant hapo (ulaji mwingine.. lol) atutengeneee tructure ya kueleweka!!!!!
 
Huyu Liumba anaweza kabisa kuwa muhusika kama hiyo portfolio ya majengo ya BoT ilikua chini yake. Sababu kama kuna kuongezwa kwa matumizi. Paper ya kujustify huko kuongezwa itakua imepelekwa na yeye kama mkurugenzi husika kwenye bodi. Sasa kama hiyo paper aliijaza madudu ila akayaremba vizuri wakati wa kuipresent, au akapika namba na kuwalaghai wanabodi ili kujustify ongezeko la matumizi, lazima kitanzi kianzie kwake, na hizo paper na minute za bodi zinaweza kuwa vielelezo.

Mara nyingi vitu vya ujenzi vinahitaji uelewa flani wa haya mambo, sasa kama chief engineer akaamua kulikoroga na kupika namba na kumpa Liumba akaombee hela bodi ili mambo yao yaende, nae kitanzi lazma kianzie kwake.... kesi ikikolea watatajana wote... wasiwasi wangu ni kuwa kila mtu atamsingizia Balali kila kitu.
 
Hawa jamaa si wataifishiwe mali zao tu kieleweke.
Mtu kala bilioni 200 na usheee duh akimpa hakimu bilioni 1 itakuwaje hapo agawane na wenzake.
 
Back
Top Bottom