Jana kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku kwa bahati niliona issue ya ziara ya ghafla ya rais katika bandari ya Dar-es-salaam.
Wakati ninampongeza rais kwa ziara hiyo ya ghafla ninapata tabu kidogo na seriousness ya mkuu wetu wa nchi kwenye mambo muhimu kama hili la msongamo usio wa lazima katika bandari yetu ya Dar. Kwa macho yangu nilimwona na kumsikia rais akisema anawajua wazembe (alihofu hata kuwaita wazembe) na kwamba anawapa muda (kama alivyowapa walarushwa) wa kujirekebisha wasipofanya hivyo atawaumbua kwa maboss (yeye ndio mkuu wa nchi sijuwi na maboss gani tena hao) wao. Hili ni tatizo la muda mrefu infact kuna nchi zinafikiria kuacha kutumia bandari ya Dar rais anatoa muda hasemi ni muda gani lasivyo anaumbua mtu. Sikujuwa kama bado tunao muda wa kuumbuana kwenye hili zaidi ya kuchukua hatua mara moja.
Boss wa TRA amesema industry ya transit na transport inaingizia mapato taifa kuliko kilimo (ambacho tumekiua) na Tourism lakini bado tunacheka na hatuchui hatua thabiti. Binafsi ninasafirisha mizigo kwenda DRC, nina staff 200 hivi so jamaa wakijitoa familia zaidi ya 200 zitakuwa affected kupitia kwangu peke yangu na mimi ni tansporter mdogo tu. Achilia mbali effect kwenye wauzaji wa mafuta, vipuri na wengine.
Bado ninajiuliza ni lini tutakuwa serious na issues serious jamani watz?
Wakati ninampongeza rais kwa ziara hiyo ya ghafla ninapata tabu kidogo na seriousness ya mkuu wetu wa nchi kwenye mambo muhimu kama hili la msongamo usio wa lazima katika bandari yetu ya Dar. Kwa macho yangu nilimwona na kumsikia rais akisema anawajua wazembe (alihofu hata kuwaita wazembe) na kwamba anawapa muda (kama alivyowapa walarushwa) wa kujirekebisha wasipofanya hivyo atawaumbua kwa maboss (yeye ndio mkuu wa nchi sijuwi na maboss gani tena hao) wao. Hili ni tatizo la muda mrefu infact kuna nchi zinafikiria kuacha kutumia bandari ya Dar rais anatoa muda hasemi ni muda gani lasivyo anaumbua mtu. Sikujuwa kama bado tunao muda wa kuumbuana kwenye hili zaidi ya kuchukua hatua mara moja.
Boss wa TRA amesema industry ya transit na transport inaingizia mapato taifa kuliko kilimo (ambacho tumekiua) na Tourism lakini bado tunacheka na hatuchui hatua thabiti. Binafsi ninasafirisha mizigo kwenda DRC, nina staff 200 hivi so jamaa wakijitoa familia zaidi ya 200 zitakuwa affected kupitia kwangu peke yangu na mimi ni tansporter mdogo tu. Achilia mbali effect kwenye wauzaji wa mafuta, vipuri na wengine.
Bado ninajiuliza ni lini tutakuwa serious na issues serious jamani watz?