Duuuh, huyu mtoto hajakutana na mzaz kama baba yngu mm...alikuwa akisema Mali zangu sijapewa na baba yangu hivyo sipangiwi na nyiny mkue mkatafute za kwenu,
@ mshana Jr, je kama unatabia ya kumuombea marehemu Mara kwa Mara tangu afariki, kuwa mwenyezi mungu amsamehe dhambi zake alizotenda akiwa hai...je haimpunguzii au kumtakasa...coz its been three years karbu kla cku huwa namuombea mama yangu kila niombapo...moyoni huwa nasikia amani sana na...
Mm mwanangu alianza uji,nachukua unga nauchuja naweka na blue band, tangu akiwa na wiki mbili...alipofika miex mi2 na nusu nkawa nampigisha adi supu ya nyama, nyepesi,plus kiini cha yai LA kuchemsha nakiponda na maji..alikuwa na afya nzuri sana na kilo za maana...hakuwai kuumwa kwa Mara ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.