Ni kweli mkuu....mimi ni bonge la creative fulani hivi alafu niliwahi kuwa monita wa umbwe sekondari kidato cha tano na sita, CR wa chuo makini kama SUA kwa miaka mitatu na diaspora wa Ethiopia mjini Tigris kwa miaka miwili.Duh sasa hapo si hata joto la mashine huyo dada hapati. Hii ya kwako kali ila naona si kweli
Mimi huwa inanitokea sana hiyo nimebuni njia ya kuwa tango kila nipandapo kitandani kitu kikisizi tu pasipo yeye kujua namchomekea tango nalipampu kwa mkono kiujanja ujanja hadi anakojoa heshima iko palepale na kizuri zaidi huwa anamponda mume wake aliyezaa naye watoto wawili kuwa alikuwa hajui mambo.
una vituko kwa kweliUshauri murua huuKwanza nikufahamishe;
Sio kila tunapokutana na wapenzi wetu huwa ni kwa sababu ya ku do. Aweza kuja gheto na akala, akanywa na kufua nguo akaondoka.
Pili;
Muoe kabisa akae hapo home. Huyu kishakujua shida zako hivyo mkioana mtavumiliana. Mambo ya kutumia madawa ni kuutesa mwili wako na wake bure bila sababu.
Utakapojua kuwa sio kila umwonapo ni sex tu utaanza kujituliza na mambo yako yataanza kuwa gado. Usimwogope, usimtetemekee, jua kuwa huyu ni wako tu nakuambia ghafula utajikuta unamfikisha kilele