sifa za kupata chuo cha afya ngazi ya cirtificate

sifa za kupata chuo cha afya ngazi ya cirtificate

SIPRITE

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
499
Reaction score
65
Wanajukwaa naomba tujuzane sifa za kupata chuo cha afya kozi yetu ya nursing au health community ni zipi
 
Wanajukwaa naomba tujuzane sifa za kupata chuo cha afya kozi yetu ya nursing au health community ni zipi

Vigezo vinabadilikaga mkuu
Ungesubiri taarifa rasimi ya NACTE kwa mwaka huu wa masomo ila kwa mwaka Jana kwa community health ilikuwa uwe na angalau D nne ikiwemo ya biology

Nursing uwe na angalau D ya physics, chemistry C na biology C
Pitia website ya nacte utakuta guidebook kila kitu kipo wazi
 
Kwanza uwe na at least D ktk masomo yafuatayo ...physics, chemistry, biology, mathematics na English
siku hizi hakuna cha D....wanataka uwe na C mbili za sayansi na kuendelea...then ukifika chuoni ndo unachagua mwenyewe uwe certificate upige two yrs au upige diplo 3 years.....imeanza mwaka jana
 
siku hizi hakuna cha D....wanataka uwe na C mbili za sayansi na kuendelea...then ukifika chuoni ndo unachagua mwenyewe uwe certificate upige two yrs au upige diplo 3 years.....imeanza mwaka jana
Je ukiwa na F ya Chemistry ila masomo mengine fresh, je unaweza apply?
 
Subir mwongozo wa nacte, kwa mwaka jana vigezo vya certificate na diploma kwa nursing vilifanana kwa vyuo vya serikali
 
siku hizi hakuna cha D....wanataka uwe na C mbili za sayansi na kuendelea...then ukifika chuoni ndo unachagua mwenyewe uwe certificate upige two yrs au upige diplo 3 years.....imeanza mwaka jana
Kabisa
 
Community Health.. Course alosoma demu wangu hii😀😀
 
Back
Top Bottom