Mkuu embu fafanua kidogo hapa labda mm kilaza sijaelewa.
Ina maana Hamas wanawapiga tu waovu? Kama sio mwovu hawakupigi?
Kama ndivyo, wao mamlaka wameyapata wapi ya kupiga hao waovu? Na wanatumia factor gan kuamua huyu ni mwovu ama sio?
Mm nimetoka kugombana na tigo customer care sasa hivi kuhusu hii message. Makampuni ya sim nayo ni wajinga kuruhusu message kama hizi kufikia wateja wao
Mbona wimbo uko poa tuu.. umetulia na ujumbe wake hauna matusi.
Utafananisha na nyimbo hizi ambazo mpaka ukisikia mtoto anaimba unataman umchape maana ni matusi matupu yameimbwa humo?
Sometimes we need to learn how to appreciate
Kuingia na simu kwenye chumba cha mtihani iwe bahati mbaya au makusudi ni kosa katika sheria za vyuo. Sheria ikishasema ni kosa uninadam unakaa pemben maana kila mtu angekua anahukumiwa kwa kutumia ubinadam na sio sheria magereza mengi sana yangeku wazi.
Kiswaswadu kinaweza kuhifadhi sms nyingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.