DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,641
- 81,548
Hiyo ilikuaje ina Maana kulikuwa hakuna special exam?
hakuna namna hapo, labda aanze na serikali ya wanafunzi wa chuo
umenikumbusha kisa kimoja hivi mabibo campus
jamaa yupo room anatia msuli, akijua mtihani ni saa 8 mchana ( 08:30 hrs )
kumbe ni saa 2 asubuhi, jamaa ni disco moja kwa moja
alipiga magoti sana utawala kule, haikusaidia