umeongea points ambazo mimi nimezikubali, kiukweli ningekuwa muajiri wa Azam TV ningefukuza watangazaji wengi akiwemo Mvulla, sio siri Mvulla level yake ni redio au TV za wilayani na si Azam, kwa hali hii Azam TV wasubiri sana wana watangazaji wengi zero ambao wanaondoa mpaka sifa nzuri ya akina...
Uchaguzi umekwisha, Magufuli ameshinda kihalali na kila mtu moyoni anajua hivyo na pengine anafanya makubwa kuliko ambayo huenda Lowassa angeyafanya. Nikuombe tu heshima kwa Mzee maana Mungu anakuona na hujafa hujaumbika.
Ni mimi Malezo kukuletea habari hii
Kwa maelezo yako ni wazi kabisa umeanza kidato cha kwanza 2006 na umemaliza Degree yako 2015. Nina uhakika una degree tena ni B.Sc with Education ila makosa ya uandishi wako yamesababishwa na kipindi ulichopata elimu yako. Dear Dr Ndalichako naomba tuvushe ili tuendane na Elimu tulizonazo.
Ni...
Nimebahatika kumsikia diwani wa kata ya Kibakwe akilizungumzia suala hili.
Ikumbukwe kuwa Halmashauri ya Mpwapwa ni kongwe lakini watendaji wake ni sifuri. Mleta mada hebu sema hao wasomi waliopita walifanya nini zaidi, zaidi ya kula pesa ya walipakodi kwa kujifanya wajanjawajanja?? .
Katika...
Kwangu sioni somo gumu ila nilikuwa nachukia masomo kama Biology, Geography, History na Civics ila kulingana na thread kwangu masomo magumu ni Physics na Kiswahili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.