Jamani waacheni wenzenu wana la ETHIOPIANgoja niipeleke huu uzi kwenye jukwaa Lao. Maana wamezoea kuisifia nchi yao wakati wananchi wao ni vibaka ughaibuni.
Hahaha ZIZINI du! ndio wapi
Hawa ni wadokozi. Sidhani kama jina la wizi linawafaa. Hiki kitendo kinahusisha tabia mbaya zaidi. Wizi ni kitendo ambacho kinahusisha lengo na kutenda uovu unaolenga kupata faida.
Hawa ni watu wenye tabia mbaya ya udokozi hata yasiyofaa !!!!
Wewe :what::what::what::what::what:
Hehe wemtu kibokoZizini ni sehemu inakotokea mbolea (huko nyuma ya mattako).