Uchaguzi wa Meya Halmashauri ya Mpwapwa- kituko chatokea

Uchaguzi wa Meya Halmashauri ya Mpwapwa- kituko chatokea

Mwl mstaafu level ya headmaster ndiyo kitu gani?

Kwa maana mwalimu aliyefikia kiwango cha kuongoza shule i.e Kiongozi wa shule - na aghalabu hutumika katika ngazi ya elimu ya sekondari.

Kwa usahihi kabisa kiongozi huyu huitwa "Head of School" na akiwa mwanamume basi ni "Headmaster" na akiwa mwanamke huitwa "Headmistress" kwa lugha ya Kiingereza!
 
Nimebahatika kumsikia diwani wa kata ya Kibakwe akilizungumzia suala hili.
Ikumbukwe kuwa Halmashauri ya Mpwapwa ni kongwe lakini watendaji wake ni sifuri. Mleta mada hebu sema hao wasomi waliopita walifanya nini zaidi, zaidi ya kula pesa ya walipakodi kwa kujifanya wajanjawajanja?? .
Katika hotuba yake ya ufunguzi, M/Kiti mpya ndg Nghwenzi alisema kwa muda mrefu halmashauri imekuwa pango la wanyang'anyi lakini kuanzia sasa amesema halmashauri itakuwa Lulu na ameahidi utendaji uliotukuka na wa haki kwa sababu hana chochote cha kujivuna kama wengine wanaojivunia elimu zao kubwa.
Na kwa kuanza kamati za halmashauri wamepitishwa watu wa kazi tu bila kuangalia elimu zao na hicho kinawauma sana wanaojifanya wamesoma. Diwani wa Kibakwe anasema safari hii wamepewa nguvu kubwa sana na formula ya dkt Magufuli kwamba kwa mfano pesa za Elimu bure kwenda kwenye akaunti za shule huku Mkurugenzi akiarifiwa kwa copy tu, hili litakomesha ufisadi wa Wakurugenzi wa wilaya.

Mimi ni Malezo kuwaletea habari hii
 
Last edited by a moderator:
Nimebahatika kumsikia diwani wa kata ya Kibakwe akilizungumzia suala hili.
Ikumbukwe kuwa Halmashauri ya Mpwapwa ni kongwe lakini watendaji wake ni sifuri. Mleta mada hebu sema hao wasomi waliopita walifanya nini zaidi, zaidi ya kula pesa ya walipakodi kwa kujifanya wajanjawajanja?? .
Katika hotuba yake ya ufunguzi, M/Kiti mpya ndg Nghwenzi alisema kwa muda mrefu halmashauri imekuwa pango la wanyang'anyi lakini kuanzia sasa amesema halmashauri itakuwa Lulu na ameahidi utendaji uliotukuka na wa haki kwa sababu hana chochote cha kujivuna kama wengine wanaojivunia elimu zao kubwa.
Na kwa kuanza kamati za halmashauri wamepitishwa watu wa kazi tu bila kuangalia elimu zao na hicho kinawauma sana wanaojifanya wamesoma. Diwani wa Kibakwe anasema safari hii wamepewa nguvu kubwa sana na formula ya dkt Magufuli kwamba kwa mfano pesa za Elimu bure kwenda kwenye akaunti za shule huku Mkurugenzi akiarifiwa kwa copy tu, hili litakomesha ufisadi wa Wakurugenzi wa wilaya.

Mimi ni Malezo kuwaletea habari hii

Wewe zumbukuku
1.Hesabu nyumba zilizochipua mji mpya za watumishi wa halmashauri kwa kutumia umbumbu wa madiwani
2.Hayo magari ndiyo usiseme , fuatilia kama wana mikopo kwenye taasisi za fedha hao watumishi
3; Unajua semina hewa za ukimwi walizofanya watumishi wa idara ya afya na madiwani wakatia sahihi?
5. Je hao viongozi walichaguliwa hata mmoja anajua kutengeneza Indictor(kiashiria) cha kupima mafanikio wachilia mbali kujua kiashiri ni nini?
Kama hawana ujuzi wowote wa usimamizi na ufutiliaji yaani M&E watawezaje kuongoza halmashauri?Utaniambia watafanya kwa mazoea, kweli ulimwengu huu wa sasa wa sayansi na tecnologia ni wa kufanya kazi kwa mazoea?

Najua na wewe malezo ni hao hao ambao mkipewa kalamu na notebook unakimbia.
 
Wewe zumbukuku
1.Hesabu nyumba zilizochipua mji mpya za watumishi wa halmashauri kwa kutumia umbumbu wa madiwani
2.Hayo magari ndiyo usiseme , fuatilia kama wana mikopo kwenye taasisi za fedha hao watumishi
3; Unajua semina hewa za ukimwi walizofanya watumishi wa idara ya afya na madiwani wakatia sahihi?
5. Je hao viongozi walichaguliwa hata mmoja anajua kutengeneza Indictor(kiashiria) cha kupima mafanikio wachilia mbali kujua kiashiri ni nini?
Kama hawana ujuzi wowote wa usimamizi na ufutiliaji yaani M&E watawezaje kuongoza halmashauri?Utaniambia watafanya kwa mazoea, kweli ulimwengu huu wa sasa wa sayansi na tecnologia ni wa kufanya kazi kwa mazoea?

Najua na wewe malezo ni hao hao ambao mkipewa kalamu na notebook unakimbia.

Hizi tuhuma unazotoa ni za wale waliojifanya wamesoma, sasa tusubiri tuone hawa ambao hawajasoma watafanya nini, muda ni hakimu mzuri.

Ni mimi Malezo kukuletea habari hii
 
Last edited by a moderator:
Hizi tuhuma unazotoa ni za wale waliojifanya wamesoma, sasa tusubiri tuone hawa ambao hawajasoma watafanya nini, muda ni hakimu mzuri.

Ni mimi Malezo kukuletea habari hii

Wewe zumbukuku haiwezekani ukamtuma mbilikimo akamkamate jitu kubwa lililopokea hela za moto, ni lazima utume jitu kubwa lenzie, hawezi mtendaji wa halmashauri akaandika report ya activity Fulani Nkw`enzi akaielewa report hiyo ataishia kuweka saini ya dole gumba tu maana hajui kusoma na kuandika. Tegemea maumivu tu kwa miaka mingine mitano, halmashauri hiyo lini mlichagua watu wanaolewa dunia invyokwenda zaidi ya hayo mambumbu ili mlime juu ya migongo yao?
 
UPDATES: Ukaguzi wa vyeti feki Serikalini umeanza rasmi, waanza na walimu
Katika kuhakikisha wafanyakazi wa Serikali ni wale wenye sifa stahiki, Serikali imeanza ukaguzi wa vyeti ili kuhakiki kama ni vyeti ambavyo sio feki.

Baadhi ya mikoa walimu wametakiwa kuwasilisha vyeti vyao kwa uhakiki.

Baada ya walimu wataofuata ni Halmashauri zote nchini kwa kuwa fedha nyingi za maendeleo hupelekwa huko.

Connect Dots fedha za Elimu kupelekwa moja kwa moja kwa wakuu wa shule


Ndiyo fedha hizo zikute madiwani kama wa halmashauri ya Mpwapwa Nye walimu wakuu watajizolea mahela madiwani wataambulia kutia sahihi

MWE MWE MWE MWE MWE WME MWE UWIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII, oiheeee, oiheeee, oiheeeee, langa chamalika.
 
Ndo haoooo wanaoshindwa hata kuapa unategemea atachanginia nini kwenye baraza la halmashauri
 
Back
Top Bottom