Do you know of a subject harder than Mathematics?

Do you know of a subject harder than Mathematics?

Jaman wanajf,am new in this floor,bt argument yangu ni hii,hakuna somo gumu hata siku moja,tunatofautiana kwa ugumu vichwa vyetu kuelewa mambo kuhusu particular subject,am done.
 
Fizikia na Hesabu, hamna kitu....labda kidogo Kemia!


But generally naamini inategemea zaidi na mtu mwenyewe na sio somo husika
 
Kwangu sioni somo gumu ila nilikuwa nachukia masomo kama Biology, Geography, History na Civics ila kulingana na thread kwangu masomo magumu ni Physics na Kiswahili
 
WanaJF, We have been to all sorts of schools and colleges, at each level, subjects or courses related to mathematics are often shunned by many of us except those few good in maths whom we often adore as sharp minds("vipanga").This prompts me to ask is mathematics the most difficult subject? Is there any other subject probably harder than Maths that you know of? Responses.

Madaktari wanaosoma masomo ya tiba za wanadamu especially wale wa upasuaji ni watu wanaosoma masomo magumu kuliko somo jingine lolote hapa duniani ila watu hawaelewi hilo kwa sababu masomo yao hayapo kwenye ngazi za huku chini ambako elimu yetu huwa inaanzia. Mimi naamini kabisa kuwa hakuna masomo magumu kama ya udaktari, hesabu wala siyo mojawapo ya masomo magumu
 
ebu achen mashkara math haingi ata robo mziki wa bamkubwa p,wat tlosoma pcm tnaelewa math ndo lilikuwa somo lakupumzikia ukifel hesabu we bas tena.
 
Madaktari wanaosoma masomo ya tiba za wanadamu especially wale wa upasuaji ni watu wanaosoma masomo magumu kuliko somo jingine lolote hapa duniani ila watu hawaelewi hilo kwa sababu masomo yao hayapo kwenye ngazi za huku chini ambako elimu yetu huwa inaanzia. Mimi naamini kabisa kuwa hakuna masomo magumu kama ya udaktari, hesabu wala siyo mojawapo ya masomo magumu

mkuu ukianza kuongelea profesional kwenye sanyansi hasa engineering nako hakufai....

achilia mbali bachelor degree, juu yake kuna mambo mpk unaona nyota!
 
Jaman wanajf,am new in this floor,bt argument yangu ni hii,hakuna somo gumu hata siku moja,tunatofautiana kwa ugumu vichwa vyetu kuelewa mambo kuhusu particular subject,am done.

Na ndio mana kila mtu ametaja somo ambalo kwake ndio gumu,

Au hujaelewa topic
 
Nilikuwa napenda sana physics bhasi tu sema nilsoma shule za kata na nyumban kulikuwa teee
 
Nasikia hii kitu rocket science ikitajwa twaja sana. Hii lazima baba Lao😊
 
Me naona ugumu wa somo unategemea na uwezo wa mwalimu aliekujengea foundation na juhud zako binafsi mtu unaweza kuta A level hesabu ulikuwa kipanga, unafika chuo uchumi au hata QM zenyewe zinakutesa mpaka unadata
 
Ugumu wa somo inategemea na mambo mengi sana ikiwemo uwezo binafsi,msingi wa hilo somo,mazingira etc

Kama ukilipenda,ugumu wote unayeyuka ndio maana hapa unasikia mwingine anasema hili somo ni gumu wakati kwa yule ndio rahisi kuliko yote

Sitaisahau Advanced Physics japo imenileta medical school na wanangu kibao wa boyzia wa mboka manyema
 
Back
Top Bottom