Recent content by MAKWINYAMSAFIRI

  1. M

    Maajabu ya bongo movie..

    bongo movie ni ngono tupu ndo wanacho kijua
  2. M

    Hivi mnaoendaga kwenye show za miziki ya kibongo mnafaidi nini hasa ?

    bongo fleva amna kitu yaaani ni shiiiiiida..naungana na mjumbe apo juu.mziki enzi zao.
  3. M

    Bakhresa tuonelee huruma wapemba

    hahahaha@bwana kikulachochako.kweli anacho ogea turufudume....km upo krb na said salim bakharesa fikisha kilio chao.
  4. M

    Mwaka 2014 utaukumbuka kwa lipi?

    mapunguvu makubwa nilio wahi kuyaona ktk utawara uliopo madarakani.na kusababisha ugumu wa maisha kwa umma wa watanzania.
  5. M

    Kusafiri safari ndefu kwa kutumia toyota passo

    cc ngapi?hakiwezi kwenda na kurudi ninavyo jua mm...kitachemsha njia.labda ukipumzishe njia.by findi magari
  6. M

    Lowaasa Aiteka Zanzibar Xmass

    lowassa ni kiongozi shupavu,jacri,pia anajiamini ktk maamuzi yk.
  7. M

    Kali ya funga mwaka uchaguzi mdogo

    ccm imepitwa na zama zake za ujima.ituache...
  8. M

    Kawe kimenuka: Milio ya risasi yasikika!

    milio ya mabomu,risasi kwa cku ya uchaguzi..ilikua kawada mno haswa wale upande mwingine ndo ttzo.hata kwetu hari ilikua mbaya sn kiasi cha kutishia maisha ya watt kutokana na bumu za machoni.
  9. M

    Serikali ipige marufuku matumizi ya jina hili haraka

    hahahahah....ududu.majina km hy ypo mng mno utakataza mangapi?mjumbe mmjoa Kikujibu hpo juu.asant@mwanamalundi
  10. M

    Je! kuna uhusiano wa akili (intelligence) ya mama na mtoto?

    utajuaje kua mtt hyo karithi..kutoka kwa babu zke ikiwa ww baba au mama hajawai kuwaona na kujua mienendo pindi wapo hai?kwa uwelewa wng mdogo. kr mtu huzaliwa na akili.kipaji TATIZO MALEZI.
  11. M

    Mzee huyu amepotea kwa atakaye muona tunaomba msaada

    polen kwa kupotelewa na mzee wenu.m/mng ataleta wepesi juu ya hilo.
  12. M

    CHADEMA fundraising Itilima

    tutaungana.derete ccm
Back
Top Bottom