Lowaasa Aiteka Zanzibar Xmass

Lowaasa Aiteka Zanzibar Xmass

Sisi tunapima tu upepo, na kuripoti mwelekeo wa upepo. Mpende usimpende, pamoja na madhambi yake, pamoja na uzuri wake, Watanzania wengi wanamtaka Lowassa kuwa raisi 2015. Sasa kama wewe unabisha sema ni nani anamkaribia Lowassa hata kwa mbali. Na tunavyoelekea 2015 ndio mwelekeo wa upepo utakavyokuwa dhahiri. Mimi binafsi ningependa Mwakyembe awe raisi 2015. Lakini ndio hivyo, upepo haupo kwa Mwakyembe, yaani Mwakyembe hayupo kabisa kwenye picha.
 
Sisi tunapima tu upepo, na kuripoti mwelekeo wa upepo. Mpende usimpende, pamoja na madhambi yake, pamoja na uzuri wake, Watanzania wengi wanamtaka Lowassa kuwa raisi 2015. Sasa kama wewe unabisha sema ni nani anamkaribia Lowassa hata kwa mbali. Na tunavyoelekea 2015 ndio mwelekeo wa upepo utakavyokuwa dhahiri. Mimi binafsi ningependa Mwakyembe awe raisi 2015. Lakini ndio hivyo, upepo haupo kwa Mwakyembe, yaani Mwakyembe hayupo kabisa kwenye picha.
bora umebinafsisha hoja yako
 
so hapo inategemEA na motive au siyo?
Mkuu, wenye afya hawamuhitaji daktari wagonjwa. Kanisa ni nyumba ya wote, wenye mioyo safi kwa ajili ya kumtukuza Mungu, na wenye dhambi kwa ajili ya kutubu.
Nyumba ya Mungu huwa haina ubaguzi. Haya ni kwa mujibu wa mafundisho sio matakwa ya mtu yeyote kwa sababu zozote.
Halafu, hivi hatuwezi kujadili masuala ya imani bila kubeza au kudharau imani za wengine? Hakuna dini iliyo duniani kwa bahati mbaya ndugu yangu, tujifunze kujadili bila kuparulana, tutalipa heshima kubwa jukwaa hili.
Mwisho, nakutakia kila la kheri katika mabadiliko yako.
Ova
 
Huyu fisadi mbona yuko kimya kuhusana na wizi wa zaidi ya shilingi bilioni mia tatu katika bank account ya Escrow? Je, anakubaliana na maamuzi ya DHAIFU au hakubaliani nayo? Je, anataka pesa zote zirudishwe hazina na wahusika wapandishwe kizimbani au la? Mtu anataka kuwa Rais ndani ya miezi 10 ijayo lakini kwenye issue nzito za Kitaifa anakuwa kimya kabisa akijaribu kuzikwepa kwa kila namna badala ya kutaka kuonyesha kama yuko tayari kutetea maslahi ya Watanzania, pale ambapo kuna wahuni na wezi wamejitajirisha, bila kujali nani ni muhusika. Ukimya wake kwenye hili sakata ni dalili nyingine huyu hafai kuwepa dhamana na Watanzania ya kuiongoza nchi.

Lowassa siyo type ya mtu dhaifu! Hakukutana barabarani na (dhaifu) kwa mujibu wa Munyika. Ulitaka aongee nini kwenye hili. Ukimya ni hekima na unaweza kuwasilisha ujumbe chanya kwa watu wengi! Siyo lazima mtu aseme! Kamati ya PAC ilisema lazima mtu awe na akibs ya maneno! Nawewe BAK nakusihi wacha jazba na munkari kuwa na akiba ya maneno yatakusaidia!
 
Acha ujinga wewe!!! Aliyekwambia kuhoji mambo muhimu kuhusu Tanzania ni kuwa na jazba na munkari ni nani!? Wewe kaa kimya tuachie tunaoweza kuhoji tuhoji.

Lowassa siyo type ya mtu dhaifu! Hakukutana barabarani na (dhaifu) kwa mujibu wa Munyika. Ulitaka aongee nini kwenye hili. Ukimya ni hekima na unaweza kuwasilisha ujumbe chanya kwa watu wengi! Siyo lazima mtu aseme! Kamati ya PAC ilisema lazima mtu awe na akibs ya maneno! Nawewe BAK nakusihi wacha jazba na munkari kuwa na akiba ya maneno yatakusaidia!
 
Hiyo tittle yako ibadirishe. Sasa hapo ameiteka vipi Zanzibar?
 
Kwa kuitazama hii picha, utakubaliana na mimi jamaa ni still going strong!, kazi ya urais sio kubeba zege!, kitu kizito kabisa ambacho rais anapaswa kuwa na uwezo wa kukibeba ni microphone kama hapo!, tena only pale inapobidi!.

Nimeisha mshauri yule 'Salva' wa EL, jamaa akiingia ni vihotuba vifupi vifupi maximum 3 pages only na sio mijihutuba mirefu very boring kama ya JK!, tena sio kwenye mijikaratasi, EL akiingia anaingia na ECO Government na E-Government, kwa sera ya paperless!, mambo ni kwenye I pad air, na transparent teleprompters kama Obama!.

Merry X-Mass

Pasco
Pasco naomba msaada wako! Kuna uzi mmoja humu nimeupoteza na sikumbuki title wala mwandishi ila uzi ulikuwa unachambua mikakati ya el na kundi lake huku wakitajwa akina rostam na karume!
Mwenye uzi pia aligusia in a nutshell kifo cha Dr. O. Juma ktk harakati za kina jk!
Nautafuta huo uzi mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Lowasa Ni mwizi tu kama hao ccm wenzake.huwezi kutenganisha ccm Na ufisadi. Akitaka urais ahamie Ukawa ili tumbane vizuri.
 
Nakumbuka kwamba alijiuzulu kwa kashfa ya RICHMOND, sikumbuki kama alistaafu, hebu tuweke sawa sio kutupotosha
 
Maaana ya neno Aiteka ni IPI? Maana hapo kanisani naona waumini wasiopungua kumi! ...duh hiki Kimunhe munhe cha njaa kitawafikisha pabaya
 
Pasco naomba msaada wako! Kuna uzi mmoja humu nimeupoteza na sikumbuki title wala mwandishi ila uzi ulikuwa unachambua mikakati ya el na kundi lake huku wakitajwa akina rostam na karume!
Mwenye uzi pia aligusia in a nutshell kifo cha Dr. O. Juma ktk harakati za kina jk!
Nautafuta huo uzi mkuu!
Mkuu Slim, hizi ni nondo kutoka jikoni kwenyewe kule kule kunako!. Jamaa anaitwa Hutaki Unaacha
  1. [h=3]Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful,-Part 1[/h][h=3]JK, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise-Part 2.[/h][h=3]Membe be careful, adui yako wa kweli humjui![/h]
Merry X-Mass

Pasco


  1. [h=3][/h]
 
Back
Top Bottom