ha ha haaa oooppssss nice monday kwa kweli duuh.
Sawa sawa.
ha ha haaa oooppssss nice monday kwa kweli duuh.
Unajitoa akili kwa sababu ya buku7!Watanzania tumefumbwa macho! CHADEMA ni tawi la CCM na haitakaa itokee hata siku moja rais atoke nje ya ccm!
kubali ukatae huo ndiyo ukweli
Wajiandae kisikolojia ... mabadiliko ni muhimu .. na hayakwepeki.
Bwawani mwanyamala wakala wa CCM wametoka kwenye vyumba vya kuhesabia kura kwa madai kuwa hawana imani na polisi
Kwa sasa hali ni shwari eneo la kawe na hapa nilipo nipo eneo husika
Ccm bwana! mbona hawataki kukubali matokeo au walijua wao ndo wenye nchi kama wanavyojinadi kwenye majukwaa!!!!
Ndicho kilicho tokea. Aliekuwa anaetetea kiti cha huenyekiti wa mtaa, kaja kufukuza watu kupiga kura wakiwa kwenye line. Wakati sheria inamruhusu mtu kupiga kura kama muda ukifika akiwa kwenye mstari.
Jamaaa amekuja kufukuza watu, watu wamemgomea kuonyesha kujua haki zao, lakini cha ajabu aliwapigia simu polisi wakaja kutawanya watu na kufunga kituo.
Polisi walionekana wakija na box jingine la kura.
Hii imetokea mtaa wa Kawe mzimuni.
Labda kama mmechukua masanduku ya kura kama kwingineko...
Kuhusu poti poti jana alikamatwa na polisi na kupelekwa kituo cha polisi acha ujinga kusema poti poti ndio rais wa kawe ikiwa ameolewa na angekuwa rais au mtu mjanja asingekubali kwenda kukaa ukweni baada ya kukosa kodi ya chumba ovaa
Kuhusu poti poti jana alikamatwa na polisi na kupelekwa kituo cha polisi acha ujinga kusema poti poti ndio rais wa kawe ikiwa ameolewa na angekuwa rais au mtu mjanja asingekubali kwenda kukaa ukweni baada ya kukosa kodi ya chumba ovaa