A day before, (Tuesday) the same newspaper had a similar article as its lead (`Experts: Why furore over BoT's residency?) which suggests that the owner of the newspaper must be behind this crap for God knows reasons. Perhaps this kind of campaign will lead to exposing the real Reginald Mengi in...
Si vibaya kurejea mafanikio yako, ama uliyochangia kazini. Lakini, pamoja na mapungufu kadhaa katika utendaji, naona Sakina amefanya jambo la maana kurejea hayo yote anapoamua kuacha kazi. Pengine hili litamkumbusha Mzee Mengi kuwa hawezi tu kufanya chochote kwa waajiriwa wake kwa sababu tu ana...
Ndugu wanajukwaa,
Nimefuatilia suala la DECi kwa shauku toka kabla halijaanzwa kuandikwa na magazeti na hata baada ya hapo. Ninashawishika kusema kuwa kuna habari nyingi sana tunafichwa juu ya suala hili lote hasa kwenye fedha. Habari zilizopo ni kuwa wanachama wa DECI ni zaidi ya 700,000 na...
Im my opinion, Govt opinion didn't come at the most opportune time. Regardless of whether Mengi was right or not in shaming the prominent businessmen, the ministers should have atleast considered how to respond if at all there was a need to do so. There are so many things to look at when...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.