Recent content by Maktauwo

  1. M

    Ni wazi sasa: Mbowe na Zitto hawaivi

    Nimeipenda hii! [/U]
  2. M

    Ziara ya Hillary Clinton kuja: Picha na Matukio

    Mind your spelling p/se!
  3. M

    Kikwete amwambia Magufuli aache Ubabe kwenye bomoa bomoa; Magufuli ataaminika tena?

    Hizi ni sinema. Tatizo ni kujua nani kashika remote control.
  4. M

    Ziara ya Zitto nchini Malaysia

    Ujumbe huu si kwa Zitto tu bali pia kwa Rais Kikwete, marafiki zake, wabunge na viongozi wa CCM wa ngazi zote.
  5. M

    GE2010 Hatimaye Ritta Mlaki abwaga manyanga jimbo la Kawe....

    Naogopa ninapofikiria kuwa mtoto wake Mama Ritha Mlaki ama mumewe anaweza kusoma haya!!! Vivyo hivyo kwa Bettie.
  6. M

    Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    Marriage is a relationship in which one person is always right and the other is the husband!
  7. M

    On Ndulu: The "Guardian" must be kidding me!

    A day before, (Tuesday) the same newspaper had a similar article as its lead (`Experts: Why furore over BoT's residency?) which suggests that the owner of the newspaper must be behind this crap for God knows reasons. Perhaps this kind of campaign will lead to exposing the real Reginald Mengi in...
  8. M

    Barua ya Sakina ya kujiuzulu hii hapa

    Si vibaya kurejea mafanikio yako, ama uliyochangia kazini. Lakini, pamoja na mapungufu kadhaa katika utendaji, naona Sakina amefanya jambo la maana kurejea hayo yote anapoamua kuacha kazi. Pengine hili litamkumbusha Mzee Mengi kuwa hawezi tu kufanya chochote kwa waajiriwa wake kwa sababu tu ana...
  9. M

    Ofisi za DECI zavamiwa

    Ndugu wanajukwaa, Nimefuatilia suala la DECi kwa shauku toka kabla halijaanzwa kuandikwa na magazeti na hata baada ya hapo. Ninashawishika kusema kuwa kuna habari nyingi sana tunafichwa juu ya suala hili lote hasa kwenye fedha. Habari zilizopo ni kuwa wanachama wa DECI ni zaidi ya 700,000 na...
  10. M

    Uvamizi wa Eneo Meru na Mahojiano na Aloyce Kimaro (MB)

    Patrick, uko siriaz kweli? Kama ndio hivyo tuanze na wewe, ile suruali yako nzuri itoe kwa masikini mmoja.
  11. M

    Mwitikio wa Serikali na Wengine juu ya Mengi kutaja mafisadi!

    Im my opinion, Govt opinion didn't come at the most opportune time. Regardless of whether Mengi was right or not in shaming the prominent businessmen, the ministers should have atleast considered how to respond if at all there was a need to do so. There are so many things to look at when...
  12. M

    Wababa wengine bwana

    Mrembo, uchune kwanza na usubiri move yake ya pili upate uhakika. Baada ya hapo utajua mwenyewe
  13. M

    Tujikumbushe ILBORU

    Vigorous Room. Nani anakumbuka chumba hiki? Again ni kwa wale wa miaka ya 90's na 2000 mwanzoni
  14. M

    Tujikumbushe ILBORU

    Mmesahau Bino. Kwa aliyesoma Ilboru miaka ya 1990's huo ni msamiati wa kwanza.
Back
Top Bottom