Mwitikio wa Serikali na Wengine juu ya Mengi kutaja mafisadi!

Sheria inatambua ukubwa wa kosa ndugu yangu ndo maana kuna makosa huwezi kupewa hata dhamana. Makosa yote jinai ila yanatofautiana. Hata mtoa taarifa ana mazingira.

Sasa kwa hili aliyeibiwa si Mengi, ni mtaa mzima! Na mwizi si mwizi wa shati au kibaka, ni aliyezungusha fensi mtaa mzima. Na kwa muktadha huo huo walio wengi hawajui kinachoendelea. Mengi anajua na ana ushahidi. Kupaaza sauti na kusema kuwa tumeibiwa ni njia sahihi ya kuwatambulisha walio mamlakani au jamhuri kuchukua hatua. Amepaaza sauti na amesema, je polisi wamesikia au hawakusikia??

Ndugu yangu Pundamilia tuangalie logic ... si misimamo.
 
Mengi aliuliza hawa watu kiburi chao kinatoka wapi? Sasa tumepata jibu kutoka kwa mhusika mwenyewe na wenzake -- Sophia


Speaking of a million dollar question... Mengi huwa haachi kuuliza hilo swali.
Kwani lazima tutafuniwe kila kitu? :)
 
Kipimapembe,
Nimekusoma, lakini unaposema ukubwa wa kosa au jinai una maanisha nini sijakuelewa kwani ninajua mimi katika sheria hakuna double standards na ndiyo maana wanasema sheria ni msumeno.
Pia kwa faida ya kuelimishana ni hivi, unapokuwa na malalamiko dhidi ya mtu mwingine kwa mfano unahisi fulani ndiyo kakuibia nguo zako, basi unapeleka malalamiko hayo katika vyombo husika yaani Polisi ili uchunguzi/upelelezi uweze kufanyika na hatua nyingine ziwezekuchukuliwa.
Vinginevyo unaweza kumuagiza Attorney/Advocate awasilishe madai yako dhidi ya mtuhumiwa wako. Hizi ndiyo njia ambazo Mengi alitakiwa kuzifuata kama mwananchi mwingine yeyote.
ikumbukwe kuwa hata sisi wa Vingunguti tunaposimama na Mengi mbele ya sheria hakuna tofauti, sheria inakuwa kama msumeno inakata kotekote.
Kuendelea kumtetea kwa kitendo alichokifanya ni saswasawa na kuendelea kubariki maovu yaendelee. Kazi kubwa ya JF ni kurekebisha makosa na wala siyo kupamba watu. Pesa za Rostam au Mengi ni kwa ajili ya matumbo yao na hazisaidii kuweka standards za JF kama vile wachache wanavyofikiria. Tuendelee kumkoma nyani mchana kweupe.

Ndugu yangu Pundamilia,

Hizo taratibu wewe ndo unasema hivyo. Lakini hizo unazosema kuwa ndo watu wote wanatakiwa wafuate si taratibu za kisheria. Sheria inataka Jamhuri iarifiwe kwa kutumia njia yoyote itakayoiwezesha kujua kuwa kuna jinai imetendeka.

Kwa hiyo ikiwa mtu mwingine ametumia njia nyingine, cha muhimu ni je Jamhuri imejua??? Ikiwa imejua basi pasi na shaka njia iliyotumika ni sahihi kwani ujumbe uliotarajiwa umefika.
 
Inachekesha kweli.

Unasema mahakama ndio pekee inaamua nani kakosea, halafu hapohapo unasema Mengi amekosea!

Kama wanaona Mengi kakosea si wampeleke mahakamani badala ya wao pia kurudia 'kosa' lilelile wanalomtuhumu nalo Bw Mengi? Au Mh Sophia nae ni mahakama siku hizi?
 
Kwanza aliowataja shujaa Reg Mengi kuwa ni mafisadi papa wamekaa kimya, hawathubutu kujibu mashambulizi maana wanajua kuwa yaliyosemwa ni kweli tupu. Pili wanaogopa wakijibu mashambulizi yataweza kuibuliwa mengi mabaya zaidi dhidi yao na biashara zao haramu. Mafia huwa ni wajanja sana!! Kama wameonewa wawahi mahakamani!!! Huyo the so called Sophia Simba katumwa na nani kuropoka??? Nilitegemea kama Waziri wa maadili mema atakaa kimya maana ni aibu kwa ofisi yake!!!! Hana adabu kabisa huyo mama!!! Ila kwa upande mwingine sishangai maana pale ni sehemu nyeti na lazima atakuwa amewekwa pale na RA na EL maana ndiyo waongoza nchi!!!!

Utanikubalia kuwa katika kampeni za the so called UWT chair hata Presede mwenyewe alimpigia huyu mama kampeni?? Na hela ya kampeni ilichangiwa pia na mafisadi?? Kwa mantiki hiyo ana kila sababu ya kutetea mafisadi.

Serikali ya awamu ya nne haitakuwa na ufanisi wowote ule kwa kipindi chote itakayokuwa madarakani maana haina watendaji bali ina viongozi wengi vibaraka wa mtandao ambao wanatumikia interests za waliowaweka madarakani. Wale mashujaaa wachache kama kina Anne wanashindwa kupata support ya hawa vibaraka. Ila tu nataka watambue kuwa tunawahitaji sisi watanzania tulio na uchungu na nchi yetu, hivyo they have majority support from our side.

Keep it up my uncle, brothet Mengi. Shame to Sophia ambaye haoni uchungu na umaskini wa watanzania walio wengi, anaona furaha na utajiri wa mafisadi wachache kwa kuwa wanafanikisha kuwepo kwake katika cheo.

On the othe side of the coin, my uncle Mengi be carefully na tabasamu la JK!!!! Ana hasira na wewe sana maana unagusia sana mafisadi ambao wengi wao ndiyo waliomuweka madarakani kwa fedha za michoro!!! Tena ulipomtaja RA ulitonesha Kidonda, ulipomtaja Tanil Somaiya, ujue ni mtoaji zaka mkubwa kwa UVCCM. Je mnakumbuka kuwa JK ndiye alikuwa mgeni rasmi kupokea hundi ile ya mil 400 toka ka TS kwa UVCCM?? Yaani kila aliyetajwa ana role kubwa sana kwa JK!! Watch out!!

Jeet Patel ni kama alichukuliwa kusulubiwa on behalf ya hao waliobakishwa!!! Pengine atakuwa amekubali kwa hilo ila kuna kafidia fulani ambako kanamsubiri!!!! Take it from me!! Nilicheka sana niliposikia kuwa Jeet alikamatwa na kufikishwa mahakamani wakati ndiye alikuwa host mkubwa wa visherehe vya kupongezana!!! Ni yeye wa tender zote through Noble Motors ku supply magari yote ya uchaguzi!!! Ni yeye....... you name all!! He is also a Mafia!!!! Acheni kutuweka michanga ndani ya macho!!!!
 
Kwanza aliowataja shujaa Reg Mengi kuwa ni mafisadi papa wamekaa kimya, hawathubutu kujibu mashambulizi maana wanajua kuwa yaliyosemwa ni kweli tupu. Pili wanaogopa wakijibu mashambulizi yataweza kuibuliwa mengi mabaya zaidi dhidi yao na biashara zao haramu. Mafia huwa ni wajanja sana!! Kama wameonewa wawahi mahakamani!!! Huyo the so called Sophia Simba katumwa na nani kuropoka??? Nilitegemea kama Waziri wa maadili mema atakaa kimya maana ni aibu kwa ofisi yake!!!! Hana adabu kabisa huyo mama!!! Ila kwa upande mwingine sishangai maana pale ni sehemu nyeti na lazima atakuwa amewekwa pale na RA na EL maana ndiyo waongoza nchi!!!!

Utanikubalia kuwa katika kampeni za the so called UWT chair hata Presede mwenyewe alimpigia huyu mama kampeni?? Na hela ya kampeni ilichangiwa pia na mafisadi?? Kwa mantiki hiyo ana kila sababu ya kutetea mafisadi.

Serikali ya awamu ya nne haitakuwa na ufanisi wowote ule kwa kipindi chote itakayokuwa madarakani maana haina watendaji bali ina viongozi wengi vibaraka wa mtandao ambao wanatumikia interests za waliowaweka madarakani. Wale mashujaaa wachache kama kina Anne wanashindwa kupata support ya hawa vibaraka. Ila tu nataka watambue kuwa tunawahitaji sisi watanzania tulio na uchungu na nchi yetu, hivyo they have majority support from our side.

Keep it up my uncle, brothet Mengi. Shame to Sophia ambaye haoni uchungu na umaskini wa watanzania walio wengi, anaona furaha na utajiri wa mafisadi wachache kwa kuwa wanafanikisha kuwepo kwake katika cheo.

On the othe side of the coin, my uncle Mengi be carefully na tabasamu la JK!!!! Ana hasira na wewe sana maana unagusia sana mafisadi ambao wengi wao ndiyo waliomuweka madarakani kwa fedha za michoro!!! Tena ulipomtaja RA ulitonesha Kidonda, ulipomtaja Tanil Somaiya, ujue ni mtoaji zaka mkubwa kwa UVCCM. Je mnakumbuka kuwa JK ndiye alikuwa mgeni rasmi kupokea hundi ile ya mil 400 toka ka TS kwa UVCCM?? Yaani kila aliyetajwa ana role kubwa sana kwa JK!! Watch out!!

Jeet Patel ni kama alichukuliwa kusulubiwa on behalf ya hao waliobakishwa!!! Pengine atakuwa amekubali kwa hilo ila kuna kafidia fulani ambako kanamsubiri!!!! Take it from me!! Nilicheka sana niliposikia kuwa Jeet alikamatwa na kufikishwa mahakamani wakati ndiye alikuwa host mkubwa wa visherehe vya kupongezana!!! Ni yeye wa tender zote through Noble Motors ku supply magari yote ya uchaguzi!!! Ni yeye....... you name all!! He is also a Mafia!!!! Acheni kutuweka michanga ndani ya macho!!!!

Maane,

Umesema mengi na hapo ndipo wengi tulipoachwa midomo wazi. Kwamba serikali inayowasemea Mapapa kwa nini isiwasemee maskini wanaotaabika??

Lakini jambo moja liko wazi. Kama wewe ni mwajiriwa wa mtu na uko kwenye payroll yake basi utamfanyia kazi aliyokutuma. Kwa hiyo Sophia na George wameonesha wazi kuwa wako kwenye payroll ya RA na mapapa wenzake. Na inawezekana hao ndio ma-PRO wao!! Naona sina haja ya kuwaonea huruma waking'arishwa kwenye ze...ze.. uta...!!!
 
Nakuunga mkono!
Nadhani hawa wanasiasa, wanafanya assessment ya maneno ya Mengi bila kumbukumbu kwamba huyu si mwanasiasa. Mengi is just another whistler, bila kujali matumizi ya TV. Maneno yake yanaweza kutumiwa na serikali kama njia ya kupata ushahidi, kama atashirikishwa.

Wanatakiwa wasijali kujulikana kwake maana huyu sidhani kama kwa nafasi yake anaweza kuingilia uhuru wa mahakama.

Sasa naanza kuwa na mashaka na serikali ktk kupambana na ufisadi. Hivi kweli wangekuwa wanachunguza tuhuma za Mapinduzi ya serikali na jamaa akatoa tahadhari kama hiyo, leo hii asingelindwa kwa nguvu zote ili awape taarifa muhimu kama hizo?

Hi!
Dugu yote,
Hii diyo itwa STATE CAPTURE in a contemporary political science literature. Jua hiyo?
Dola ya Tanzania kwisha tekwa na fisadi 10.
Pana sema hivi hivi tu, sikisa adabu fisadi yote na wakala yake yote dani ya Serikali! Sikia?
 
Last edited:
You know what fellow Tanzanian's, if i had the power i would take the Government to International Court Against Corruption (IF ANY) for Taxing the common mwananchi only the deduction to go to the Kanjibhais and company as if this country belong to them, shame on the Government, why can you ask Mengi to substatiate his allegations other than Ministers attacking him
 
Im my opinion, Govt opinion didn't come at the most opportune time. Regardless of whether Mengi was right or not in shaming the prominent businessmen, the ministers should have atleast considered how to respond if at all there was a need to do so. There are so many things to look at when somebody comes up and mentioned in public people known, or understood to have been involved in the grand corruption. Lastly, let's be honest. Was there any new name that Mengi mentioned?
 

Kama waziri Sophia Simba angeliupata ubunge wake kupitia kwa kuchaguliwa na wananchi -walalahoi na sio kupitia viti (Zawadi) maalum asingesimama na kuwakingia kifua mafisadi kwa hiyo yeye -nawengine waliong'aka kumshabulia Mengi naomba mwenye data kama nao pia niwabunge kupitia viti zawadi anifahamishe-hawawakilishi matakwa ya walalahoi bali mafisadi waliowazawadia nafasi za ubunge kwa mtazamo huo sishangazwi na kauli zao.MMUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Naomba wanajamii mnikumbushe. Sophia huyu ndiye yule yule Sophia wa upatu ya mwanzo na kina Mama Rupia na Mama Mwapachu na vigogo wengine? Na ndiye huyu huyu ndiye Waziri wa nchi Ofisi ya Rais, Utawala Bora?
 
Huyu Sophia Simba kajipalia makaa na ajiweke vizuri kupokea mashambulizi. Kwanza nimjuavyo hawezi kumudu mapigo. Utawala bora -- Wizara anayoisimamia -- hajui hata maana yake na wala yeye si mfano kuwa waziri wa utawala bora. Aliyoyatenda wakati wa uchaguzi wa UWT yanavyodhihirisha jinsi huyu mama anavyoiabisha hiyo wizara pamoja na JK aliyemteua.

Lakini tunaweza kumsamehe JI kwa sababu kamwe hakumchagua kutokana na uwezo wake.
 
Naomba wanajamii mnikumbushe. Sophia huyu ndiye yule yule Sophia wa upatu ya mwanzo na kina Mama Rupia na Mama Mwapachu na vigogo wengine? Na ndiye huyu huyu ndiye Waziri wa nchi Ofisi ya Rais, Utawala Bora?

**********************

Kilamia:
Ndiye haswa huyo mwanamama -- sasa kawa spokeswoman wa wadosi. wanasema utafutaji wa hela hauna mwisho! Watanzania tuna tabu kubwa kwelikweli.
 
Sofia Simba ni kilaza sana. Mkuchika ni 'borer' fulani. Wote hawa ni watumwa wa mafisadi. Wanaokoteza makombo wanayotupiwa na manyang'au na wabakaji wakubwa wa mali za maskini wa Tanzania. Reginald Mengi ni mzalendo anayeujua wajibu wa kizalendo kwa nchi yake. Na sisi tunafuatilia kwa makini hatua zinazokusudiwa kuchukuliwa na mamlaka yoyote ya nchi kwa yeyote. JK hana IQ ya kutosha wala ujasiri wa kimaamuzi. Ni mateka wa waliogharimia 'ambition' yake ya kuitwa 'Rais'. Hataisaidia sana Tanzania. Ushahidi uko ukutani. Mungu Ibariki Tanzania na Watu wake.
 
Mimi naona tuyapime maneno yake yupo "right", si tunakubaliana kuwa sheria za nchi zifuatwe, na shera zetu si zipo wazi kuwa " mtu hataonenakana kuwa amefanya kosa mpaka pale mamlaka yenye uwezo (mahakama) itakapotamka hivyo, baada ya kuthibitishwa pasipo shaka yoyote..."
sasa "Maza" anasema kwa tuhuma kama hizo alizotoa Mengi, yeye hakuwa na mamlaka hayo. Ukizingatia kuwa kati ya aliowataja, wana kesi hizohizo mahakamani ambazo zinaendelea.
Tukubalini kuwa mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Na kwa hoja ya "Maza" ni kuwa kwanini Mengi awataje wafanyabiashara tu?
Au kwa nini kama kweli anauchungu wa uovu huu, asingeendelea kuwataja na wengine, si alisema hawazidi kumi?
 
Mengi ni mnafiki kupitiliza.... hii issue si ya kizalendo bali ni chuki zake binafsi na biashara zake kwa hao watu... kauli pekee inayoweza kusema fulani ni fisadi ni kauli ya mahakama...... and by the way who is that witch Mengi in Tanzania so that he can mention somebody name that "is fisadi" mpaka leo mahakama haijaweza kusema kuwa Zombe ni muuwaji na hiyo kesi ina miaka.... na si kwamba ni innocent bali kauli iliyopo ni kuwa jamaa is just a suspect.... ila huyu chizi (Mengi) sijui alia'amkia kwa mwanamke gani maana jamaa hana mke.. na kuropoka kuwa fulani fisadi..tena eti fisadi papa! teh teh teh..hivi huyu jamaa ni mwanga au chizi

Mengi acha kutumiwa....utaishia pabaya mzeee...
 
Mwenyekiti Mengi.

Kuna mambo Mengi hatutizami kwa mwelekeo mmoja.Tunapishana.

Kwa Hili.

You have all My Support.

Usi babaike hata inchi moja. Usiyumbe kulia au kushoto!

Stay STILL!

Dont care the method and the ways!!! etc...Kwa wakati mwingine Havina maana na hasa kama unawasiliana na Mtu au kundi lililokwisha poteza MAANA!!

Waache Wa bwabwajike...

BUT

YOU HAVE DONE WHAT MUST BE DONE...

Wako kwenye diffensive side...

TULIA...

NGOJA...

THEN

NEXT move will prisent itself....

Kuna Kundi kubwa nyuma yako limechoka...just tired!!

Halijali...

Habari ya vyombo vyako... umeliongeleaa wapi hili jambo, Kwa kingereza, kiswahili ..Umehukumu...Hukuhukumu...Kuchuguzwa kwa Video za mkutano...nk

ALL THIS IS ARE SIMPLY SHEEEE*******

WE NEED SOME FORM OF DYNAMISIMT TO JUST MAKE THE MOVEMENT START.....!!

BUT NANI AANZEEEEEEEEEE!!!!

Watanzania wengi wamechoka kabisaa kabisa na viporojo ... wanahitaji mtu mmoja tu aaanze...the the rest...

Just wait and see..

Mambo ya Mahakama, Phylosophy na Methodolgy za prisentation etc...Yana kikomo

Na SOOOON ...NGUVU YA UMMA ISIYOJUA BLAAAH BLAHH ITACHUKUA HATAM
 
tatizo ndugu zetu hapa wanaliangalia kwenye personality.. kwamba aliyesema ni Mengi. It has nothing to do with the nature of the accusations. Jamani, Dr. Slaa ameyasema hayo na hivi majuzii wabunge wenzie wamemtuhumuu wizi Bungeni na hakuna aliyekwenda mahakamani kumfungulia mashtaka.. lakini hili la Mengi watu wanataka kuonekana wanadai utawala wa sheria.. Really?

Ni kweli kabisa kuna wakati unafika (Si nyakati zote) kama kila njia aimeshindikana na Mapapa wanazikdi Kupaparika na kumeza wanachi ...Inabidi tuangalie ISSUE kwanza na si nanani na vipi imekuja.

Kwani Hizo Nani, TV staion gani, vipiZ nk

Sometimes zinatumika vema kabisa na watuhumiwa na kundi lao ili kuzidi kurutubisha Mapapa.
 
Katika kupambana na uharifu siku zote Serikali imekuwa ikisistiza wananchi kushirika katika kuwafichua na hili imekuwa ikisema njia zote zinaweza kutumika, mfano kuwafichua kwa sirii watu wanao shiriki katika mauaji ya ndugu zetu Albino. Katika serikali za mitaa, vijijini na hata sehemu nyingine watu wasumbufu katika jamii mfano Wabakaji, wezi na hata wahujumu maendeleo kwa namna nyingine huwa tunatakiwa kuwasema waziwazi na njia za siri.

Sasa kwa hili la Mengi, tujiulize ni kwanini hawa waheshimiwa wamegeuka sera zao za kushirikisha jamii katika kupambana na uharifu? Au hawa jamaa uharifu wao ni tofauti mbele ya sheria za nchi hii?
 
Back
Top Bottom