Minja kama unahitaji machine kubwa yaan for commercial purposes check na hawa Alibaba.com wako china mimi niliwacontact wakanipa na quotations or contact me 0717903508
Habari wanaJforum, napenda kuwatangazia kua nina tangawizi tani za kutosha, mwenye kuhutaji au mwenye kufahamu masoko ya ndani na nje naomba tuwasiliane 0717903508/0759566209. Email:noeldmm@gmail.com. karibuni
Habari wanaJforum, ninauza tangawizi, kwa mwenye kuhitaji au anayejua masoko ya ndani na nje tuwasiliane 0717903508/0759566209. Email:noeldmm@gmail.com.
Kaka kwa wakristo kwenye bible kuna andiko lisemalo ailindaye nyumba yake bila mimi(Mungu) afanya kazi bure(ulinde na security campanies, umeme au uchawi) bado majanga yatakukuta tu. Nakushauri kabla hujaanza biashara yako chukua kiasi flam kwenye mtaji wako toa sadaka kwa kumwambia Mungu...
Kijana kwanz umefanya vizuri kuomba ushauri, achana na watu wenye mawazo mgando, mimi ninauzoefu kiasi flan juu ya biashara ya chips. Biashara ya chips inaweza ikakulipa sana tu bt katika mazingira ya fuatayo mbali na mtaji.1: LOCATION: hiki ni kitu cha msingi sana unaweza kuwa na mtaji wa...
Uliona wapi anayejinyonga anatangazia uma wewe?. Kukosa ajira si mwisho wa maisha na maisha lazima ujue ni ups and downs hyo ni down yako ups itakuja tu ntumainie Mungu.tofauti tu hapa ni kiwango cha uvumilivu na mind set yako bila kuajiriwa huwezi kuishi?
Huna hekima wala busara na we ni mdhalilishaji wa wanawake, changia michango yenye akili na si upuuz! Jf ipo kwa ajiri ya kuelimishana na si uwanja wa kuchezea game za kijinga.think twice!
Kwakwel hata mini voda wameshanikera sana, mfano ukijiunga na kifurushi ukaacha salio kweny account yako kifurushi kikiisha na salio lile wanafyeka,kero nyingne ukitaka kujiunga na tuseme cheka ya 500 ukiwa na salio la mia 700 ukijaribu kujiunga unaambiwa salio lako halitoshi, ukisema ujaribu...
jaman kidasa na kuchangumu, mnang'a ng'ania kuona majengo ya zitto,sijaona mkiandika hata msg ya kutoa pole majengo yake yatawasaidia nin? Juwen wakati gan mtafute habari fulan
Naomben ushauri nahtaji Kuanzisha biashara ya kuuza viatu vya
Mitumba karume vya kiume raba n.k kwa wenye uzoefuvna biadhara hii je mtaji kiasi gan unahtajika kwa kuanzia? Na je inalipa?
Asanten wadau kwa mawazo yenu mazuri ya kujengana na kutokua wachoyo wa mawazo,mawazo haya yatatusaidia sana hasa vijana wakitanzania endapo tutayafanyia kazi.hakika mnatupanua kimawazo na kutupa ujasili wa kuthubutu.asanten
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.