Recent content by makerubi

  1. M

    Hodi Hodi

    karibu
  2. M

    Unamjua dada aliyeimba wimbo wa tangazo la epic bongo star search 2012.??

    sio misoji yule ndugu umemfananisha
  3. M

    Wasifu wa ndani Mh. Catherine Magige na nia yake ya 2015

    Acha majungu ongeza CV yake kwa EDUCATION BACKGROUND kuwa CBE alipitia acheni uzalilishaji.
  4. M

    Wasifu wa ndani Mh. Catherine Magige na nia yake ya 2015

    Catheline alisoma CBE miaka minne au mitano imepita Certificate, ila sikumbuki kama aliendelea Diploma au hakuendelea. WaCBE Miaka hiyo wanamjua.
  5. M

    Wanaume wa Tanzania hawaogi, Hawafui nguo za ndani, Hawapigi mswaki?

    Wenye wake zao mara nyingi wanafuliwa na wake zao, na wengi wanaoga daima hukuta kila kitu mkewe kesha muandalia sasa sijui hao masingle ila kwa wenye ndoa wengi wao huwa wanajiswafi labda kama "hubby wake"
  6. M

    jamani msaidieni happy

    Achana na Alex kabisa tena usije ukamwambukiza tamaa yako ndio iliyokuponza, unasema alikusaidia kimasomo, kipesa alafu ukamtosa ukamuona hafai ukakimbilia kwa victa sasa Victa kaathirika naye unamuona hafai kwa kweli vijana wasiku hizi hamjatulia kabisa wengi wao hasa wasichana tamaa ni nyingi...
  7. M

    Duuh! Hii sasa kali.. kila siku jipya kuhusu Lulu

    nahisi unahasira fulani sasa uwongo hapo ukowapi? nikatika kufupisha tu jina, always majina ya Koku yanaendelea lakini nilikuwa namaanisha Padri/Mchungaji hawezi kubatiza mtoto jina la kokutona au Kokubelwa au Kokusima pasipo jina lingine la Kikristo au ulitaka nitaje kwa urefu? hope ulinielewa...
  8. M

    Duuh! Hii sasa kali.. kila siku jipya kuhusu Lulu

    labda kwakichaga Diana inamaana yake linatumika kama jina la ukoo/(asili) si mbaya pia kuwa na majina mawili.
  9. M

    Duuh! Hii sasa kali.. kila siku jipya kuhusu Lulu

    hiyo ni kweli kabisa kwa wakristo kuwa namajina mawili ni kitu cha kawaida.Unaweza ukawa na jina la nyumbani (ukoo) ukaenda kubatizwa Padri akakataa lazima utoe jina la Kikristo. Sidhani kama huyo binti hilo jina si lake, inawezekana nilake ila halitumiki na mwenyewe hakulitumia, ila yeye na...
  10. M

    Godbless Lema avuliwa ubunge

    akipewa nafasi yakugombea tena hata nyie magamba mtakuwa poyoyo chadema lazima itawale Arusha hiyo
  11. M

    Natafuta fremu ya biashara

    frem ipo makongo juu mwisho magari yanapogeuza karibu nakituo cha daladala wasiliana 0719453300
  12. M

    Dr Slaa Jibu tuhuma hizi...!

    mbona wewe umetokwa na mapovu kusisitiza tumwache silaha ajibu? ungekaa kimya
  13. M

    Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 1)

    story za kutunga? au kwa vile amewageuka? (Part 2)itoke basi maana ni toka mwaka jana.
  14. M

    Pamoja na ujio wa Symbion, mgao kama kawa!

    zile ahadi za ongezeko la megawat za Agreko na Simbion zimeishia wapi? au ndo funika kombe mwanaharam apite? Nanukuu: "Tunaelewa kutokana mgawo huu, uchumi wa nchi umeyumba, watu wanapoteza ajira hivyo tunalazimika kufanya kazi usiku na mchana kuhakikisha mgawo huu unakwisha kabisa na...
  15. M

    Tatizo la wanawake kutoshika ujauzito

    Pole Mpendwa dada, wakati mwingine hutegemea na mzunguko wengine wanamzunguko mfupi, na wengine mrefu hivyo inaweza ikakuta wewe unamzunguko mfupi ambao siku zako za hedhi ndizo siku za kupata mimba jaribu kuwasiliana na madaktari kwa hilo, ingawa inakuwa hujisikii sana kukutana na mwenzi wako...
Back
Top Bottom