frem ipo makongo juu mwisho magari yanapogeuza karibu nakituo cha daladala wasiliana 0719453300Wakuu,natafuta fremu ya biashara ya kawaida sehumu yenye mkusanyiko wa watu wengi kama Kariakoo,Tandika au sehemu za stand kubwa au vimiji vidogo vya Dar.Mwenye info apost tu hapa hapa