Leo sehemu nyingi za JIJI hazikua na umeme kwa muda mrefu kuliko kawaida yaani kwa kiswahili sanifu Mgao umeongezeka Makali.Wewe sema umeme hamna nyumbani kwetu Kimara Bonyokwa, unamtebelea rafiki yako usiku? Mijitu mingine bana kwani ukisema unakaa Kimara Bonyokwa ni kosa? Hata kama hakujapimwa