NEW NOEL
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 863
- 407
Sasa na mimi naomba kuuliza maswali yangu:
1. Je Dr. Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi anashughulika na shughuli za kila siku za kiofisi?
2. Je Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi anafanya kazi za idara ya utumishi?
Baada ya hapo nataka kukuuliza mbona tuhuma zako zimeegemea upande mmoja tu ambao ni wa CCBRT?
Hivi kabla ya kuja kwenye jukwaa ulijaribu kutafuta wahusika ambao ni CCBRT ili wakujibu?
Naomba tuache majungu na fitina...tuegemee ukweli
HIVI KWANINI WATANZANIA TUNAFIKIRIA UCHAGUZI WA 2015,BADALA YA KUFIKIRIA MAENDELEO YA TAIFA LETU NA HATMA YA WATOTO WETU NA WADOGO ZETU?
1. Je Dr. Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi anashughulika na shughuli za kila siku za kiofisi?
2. Je Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi anafanya kazi za idara ya utumishi?
Baada ya hapo nataka kukuuliza mbona tuhuma zako zimeegemea upande mmoja tu ambao ni wa CCBRT?
Hivi kabla ya kuja kwenye jukwaa ulijaribu kutafuta wahusika ambao ni CCBRT ili wakujibu?
Naomba tuache majungu na fitina...tuegemee ukweli
HIVI KWANINI WATANZANIA TUNAFIKIRIA UCHAGUZI WA 2015,BADALA YA KUFIKIRIA MAENDELEO YA TAIFA LETU NA HATMA YA WATOTO WETU NA WADOGO ZETU?