Natanguliza samahan Kwa nitakae mkwaza, ila mie naomba kuuliza tafadhali,
Katika hii sala ya Maria, anatajwa Maria kama mama wa Mungu, Ina maana yesu ndio Mungu ama?
Mahari ni makubaliano ya mume na mke, ww kama hauna uwezo wa kutoa kias hicho ni ww.
Na ndio maana Kuna mwingine anaweza kutoa gari kumpa mwanamke, lakini mwingine hata kumpa mwanamke laki Moja hawezi. Kwa hiyo huo sio ushamba bali mfuko unaruhusu
Wakuu nilipata homa nikapima nikakutwa na tyfoid, nilivoanza kupona mara homa ikajirudi tena, je inaweza kuwa na mke wangu ana ugonjwa huo pia? Na kunisababisha kurudi Kwa homa ya tyfoid kama ilivyo Kwa UTI?
Taarifa hii ni kutoka Azam TV siku ya jumapili.
Chuo Cha SUA wameweza kuanzisha teknolojia ya mimea inayopandwa shambani na kuweza kuzalisha nyama inayoweza kuliwa na mwanadamu, mhariri wa taarifa hii ni Claud Mshana kutoka Azam TV.
Wataalam njooni mtuambie hiyo inakuwa ni nyama au mbogamboga...
Mimi Ni mtaalam wa kutengeneza vitafunwa mbalimbali kama maandaz, sambusa, half cake, kababu, egg chop, piza, Bajaj, n.k.
Hivyo natafuta nafas ya kaz sehem yoyote ile, ila kwa Sasa nipo Mwanza.
Kwa ataesikia au anafaham, msaada plz 0714799804
Habarin za jion jaman. Ninahitaj kufungua biashara, hivyo nahitaji viti vya plastic Ambavyo tayar vimeshatumika, kwa mwenye kuwa navyo au anafaham aliyekuwanavyo anisaidie tafadhal.
Habari za Leo wana JF?
Ndugu zangu naombeni mnishauri mwenzenu. Mtaji niliopata ni laki 7, nahitaji kununua bodaboda kwa ajili ya biashara ya bodaboda.
Je, biashara hiyo inaweza kunitoa kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.