Natafuta kaz ya upishi wa bites/vitafunwa

Natafuta kaz ya upishi wa bites/vitafunwa

makenga 1

Member
Joined
Oct 24, 2015
Posts
17
Reaction score
16
Mimi Ni mtaalam wa kutengeneza vitafunwa mbalimbali kama maandaz, sambusa, half cake, kababu, egg chop, piza, Bajaj, n.k.
Hivyo natafuta nafas ya kaz sehem yoyote ile, ila kwa Sasa nipo Mwanza.
Kwa ataesikia au anafaham, msaada plz 0714799804
 
Hizi akili nyingine bhana, sasa kwani si ungempigia tu au nawe ulitaka kuonyesha namba!
Wewe Ni mpuuzi alafu unajikuta una akili, mi nina maana yangu kumpa namba hata kama yake ipo naeza chukua namba yake nikashindwa mpigia maana nipo busy na hilo swala lisiwe sensitive kwangu, kumbuka yeye ndiyo mwenye interest though, you can't think about that!
 
Wewe Ni mpuuzi alafu unajikuta una akili, mi nina maana yangu kumpa namba hata kama yake ipo naeza chukua namba yake nikashindwa mpigia maana nipo busy na hilo swala lisiwe sensitive kwangu, kumbuka yeye ndiyo mwenye interest though, you can't think about that!
Kwenda bwege kweli wewe, hata wewe unayetaka mfanyakazi pia unashida usikoshe hapa!
 
Back
Top Bottom