Hiki ulichokiandika hapa ni kilema kwa mwafrika kiukwel miaka 500 inaweza zidi hapo au kama utafanyika muujiza wa kuleta elimu mpya itakayomkomboa mtu mweusi na si hii ya kuletewa na mabeberu. Elimu bora ndo kila kitu zingine mbwembwe tu
Tangu post ya kwanza huyu 666 anaandika pumba tu. Mkuu ontario mpotezee you are the captain for this hustling. Im counting on u bro. Achana na wanga ndo zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwana wee hawa watu wawil eiyer na mseza mkulu wapo smart sana. Nimefurahishwa sana na kutolewa ujinga kwa kiasi kikubwa na eiyer na hili lisingewezekana bila maswal na mtazamo wa mseza mkulu. Tunameng ya kujifunza kutoka kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.