Je ambao tuna matatizo ya kusinzia mfano wakati wa darasa au kipindi cha mahubiri kanisani.
yaan sehemu yoyote ile inayokuwa na mda mrefu wa mazungumzo.
Je hapo shida nini?
wateja wanatofautiana tabia wengine hupenda kununua vya bei ya juu.
us a prestige.
kuna wale kina sie kama hajapunguza bei hununui hata kitu cha buku.
utasikia bei ya kuuzia ngapi sasa hapo?
kwani TITANIC na OLIMPIC iliyoanza kuzama si TITANIC maana nimepitia waandishi mbalimbali wanasema TITANIC ilizama siku ya kwanza tu ya safari.
na wanasema kabla haijaanza safari ilikua ikiisubiria meli ya olimpic ambayo zilitengenezwa pamoja au mimi ndo nilisoma vibaya?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.