Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu

Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu

Mimi ningekushauri uende kufundisha maana ajira ya serikalini haiishi kwa kushtukiza kama ajira binafsi. Kesho unaweza amka ukakutana na barua sijui ya redundance Mara mkataba ukiisha hauongezewi mara sijui kampuni imefilisika yaan vurugu tupu lakini serikalini labda uamue wewe kuacha.

Kafundishe, unaweza kopa ukawekeza kama ulivyosema then ukawa unalipa kwa kukatwa kidogo kidogo.
 
Endeleeni kunipa shauri mbalimbali then mwishoni nitaona ni upande gani umezidi. Then nitafanya maamuzi
 
Endeleeni kunipa shauri mbalimbali then mwishoni nitaona ni upande gani umezidi. Then nitafanya maamuzi
Chagua moja.

Uende ualimu upangiwe vijijini ndani netwek haishiki. Alafu salary upewe laki 5 (kumbuka nyongeza mpaka sasa hakuna).

Pia ujue walimu ni punching bag la magu (wanasiasa).

Au

Ubaki huko unakopewa 1.5 kwa mwezi ambapo kuna options za kuongezewa salary!!

Ubaki huko incase ukipambana ukapata hata ka cpa mambo yatakua swafi!!

Kaa hapo uwaze unataka gorofa au msonge/makuti?

NB: inakuaje kitu kama hiki unahitaji ushauri? Kwanza unaishi au umesha wahi kuishi bongo?
 
Bro katika maisha unavyoomba ushauri huwa tunaangali na aspects nyingine ,ishu sio Mshahara mkubwa iyo 1.5 dogo sana unaweza ukapewa na unakohoa damu kwakupiga kazi sana pia ukapata mda mdogo wa kufanya ishu nyingine,uzuri wa kazi ya ualimu ina mda wa kutosha wa kufanya mambo yako izo firms za private haziaminiki kesho tu unatimuliwa kuna jamaa juu katoa ushuhuda vzr sana nimeupenda, pia watu walianza na ualimu badae walihama kwend taasis nzur za serikali nyingine wanalipa vzr zaidi ya iyo 1.5 yako ambayo bdo haijakatwa katwa makodi na bodi’sasa chagua mwenyew ila kumbuka kila sehem kuna changamoto kuwa makini brother,all the best
 
Mi najiuliza apa kwa maana mkuu...ulisomea ualimu afu then ukaenda kusomea uhasibu (degree/diploma)..?

Ushauri wangu,endelea na uhasibu uku ukiwa na akili ya kuwekeza...tatizo nafasi za ualimu zimekuja na upepo wa kisiasa.

Ila kuna watu mnabahati kweli...uku wengine ata intership za uhasibu tunanyimwa Hali ilivyokuwa ngumu.
 
Mkuu fanya hivi nenda kwenye ualimu serikalini kaa mwaka mmoja ukisha thibitishwa kazini ka wilikilishe cheti chako Cha uhasibu na uombe kubadilishwa muundo utafanyiwa re categorization kuwa mhasibu Kuna uhaba wa wahasibu kwny halmshauri nyingi achana na iyo kazi ya mtu binafsi job security ni 0
Kama kweli anapenda uhasibu afate ushauri huuu
 
Mhasibu unaweza ukawaje mwalimu?umesomea BAF au Bcom accounting unawezaje kuajiriwa kama mwalimu?au huo uhasibu wewe uliosomea ni upi?
 
Naona watu wanashauri mazonge mazonge tu hapa nafasi zenyewe izo za ualimu mnaona watu wanavyopata shida uko kuna jamaa alipata kazi 2014 mpaka leo hakuna increment yeyote na wala madaraja hawajapanda wakati kila mwaka nasikia wanatakiwa kupanda madaraja (500k) alaf muna mshauri mtu ambaye anapokea 1.5m kwenda ualimu bro akili kumkichwa akili za kupewa changanya na zako hao wanaokushauri uende ualimu hawakutakii mema wengi naona wamebase kwenye kufilisika kwa kampuni private sijui blaah blaah aliyekwambia kampuni binafsi inafilika tu kama kutokea kwa jinamizi ni nani mpaka kampuni ifiliseke jamaaa atakuwa ameshapekea mshahara wakutosha yani chamsingi ndugu baki hapo hapi na nadhani iyo kazi private ni NGO kama niivyo usijidanganye komaa hapo hapo NGO,s hazifilisiki hovyo hovyo izo KOMAAA hapo hapo mzeee utanishukuru baaadae
 
Mhasibu unaweza ukawaje mwalimu?umesomea BAF au Bcom accounting unawezaje kuajiriwa kama mwalimu?au huo uhasibu wewe uliosomea ni upi?
Br. Mm nimesoma dip ya ualimu was secondary(Math/Geog) Then nikajiendeleza level ya degree ya BBA in Accounting. So nina qualification zote na pande zote niko vzr japo napenda zaidi Accounts than ualimu.
 
Mi najiuliza apa kwa maana mkuu...ulisomea ualimu afu then ukaenda kusomea uhasibu (degree/diploma)..?

Ushauri wangu,endelea na uhasibu uku ukiwa na akili ya kuwekeza...tatizo nafasi za ualimu zimekuja na upepo wa kisiasa.

Ila kuna watu mnabahati kweli...uku wengine ata intership za uhasibu tunanyimwa Hali ilivyokuwa ngumu.
Yaah! Nilianza dip ya Ualimu. Then nikajiendeleza accounts kwa taget ya kubadilisha career kutoka ualimu kwenda uhasibu. Na
 
Aisee hii situation nami imenikuta!
Nilifnya interview kwny kampun ya private inayojihusisha na uchimbaji wa madin mnamo april mwaka huu..nikaambiwa nitaitwa kazin December..sasa kutokana na covid19 ilivopiga company nying hpo katkat nikapoteza matumain ya kuitwa kazin, sasa zilipotangazwa nafac za ualim ikabid niapply fasta....mwsho wa siku huu mwz wa 12 umefika nimepangiwa nikafundishe shule moja ya sekondary ya ufundi ipo mjin sijakaa vizur napigiwa simu kweny ile kampun ya uchimbaj wa madin kuwa nitaitwa week ijayo kwaajir ya mazungumzo ya ile kaz(hiyo week ndo ambayo deadline ya kuriport kazin ualimu ni j3)...hapa nachowaza nikareport ualim alaf niende chap kwny hyo kampun ya madin nikawasikilizie offer yao sijui ntakua nmekosea? daah
Elimu yang ni bachelor of electrical engineering
 
Aisee hii situation nami imenikuta!
Nilifnya interview kwny kampun ya private inayojihusisha na uchimbaji wa madin mnamo april mwaka huu..nikaambiwa nitaitwa kazin December..sasa kutokana na covid19 ilivopiga company nying hpo katkat nikapoteza matumain ya kuitwa kazin, sasa zilipotangazwa nafac za ualim ikabid niapply fasta....mwsho wa siku huu mwz wa 12 umefika nimepangiwa nikafundishe shule moja ya sekondary ya ufundi ipo mjin sijakaa vizur napigiwa simu kweny ile kampun ya uchimbaj wa madin kuwa nitaitwa week ijayo kwaajir ya mazungumzo ya ile kaz(hiyo week ndo ambayo deadline ya kuriport kazin ualimu ni j3)...hapa nachowaza nikareport ualim alaf niende chap kwny hyo kampun ya madin nikawasikilizie offer yao sijui ntakua nmekosea? daah
Elimu yang ni bachelor of electrical engineering
Mh! Kwa vile wewe bado hujaanza kazi na hiyo company yako ya madini nenda kariport kwanza kwenye ualimu. Maana huwezi jua nn kitatokea usije kosa yote kwa kutaka yote.
 
Mm ni jobless, niponipo tu. Ila pamoja na ujobless wangu, bado siwezi kuwa Mwalimu.

Nashangaa unateseka kuomba ushauri. Yaan uache uhasibu ukawe mwalimu? Kweli!
 
naona mkuu kikombe cha nyika kijakupitia bado umeshikiria pride yako..hongera
[emoji38][emoji38][emoji38]
Mm ni jobless, niponipo tu. Ila pamoja na ujobless wangu, bado siwezi kuwa Mwalimu.

Nashangaa unateseka kuomba ushauri. Yaan uache uhasibu ukawe mwalimu? Kweli!
 
Big up sana mwanangu
Unadanganywa halafu unasema BIG UP, hivi unaijua private sector au unaisikia?

Hapo wewe ni kama house boy tu hata ulipwe 5m kwa mwezi. Unaweza kufukuzwa saa yoyote.

NENDA SERIKALINI.
 
Yaan ijulikane kwamba kazi yangu sio ya leo wala kesho ni miaka na miaka nikiperfom vzr nitaedelea nayo mpaka hata nistaaf. Na walivyonichukua moja ya swali wameniambia hatutaki ambae tunamuajiei leo kesho anaondoka. Tunataka mtu wa kukaa mda mrefu. So ni mm tu.
HII NI CHAI. inawezekana hujiu sekta binafsi vizuri. Mwanzoni umesema unafanya kazi kwenye kampuni ya MTU BINAFSI.

HIVI UNAJUA MWENYE KAMPUNI AKIFA AU AKIFILISIKA NA WEWE NDIO MWISHO WAKO?

Unaijua ITV, Radio One, Nipashe na The Guardians? Hiyo ni mfano kampuni za watu binafsi ambazo wanasotea mishahara baada ya mambo kwenda kombo.
 
Kitu ambacho nimemsoma Mtoa mada ni tayari alikuwa na majibu kichwani sasa sijui huu ushauri anautaka wanini!
 
Kitu ambacho nimemsoma Mtoa mada ni tayari alikuwa na majibu kichwani sasa sijui huu ushauri anautaka wanini!
Majibu sahihi sina. Nilichotaka ni kuomba msaada kutoka kwenu wanangu wapambanaji wenzangu. Na ndio maana nimeomba msaada wa mawazo kutoka kwenu. Ningekuwa na majibu nisingewafwata kuomba msaada wenu.
 
Back
Top Bottom