Recent content by Majinzi

  1. Majinzi

    GE2020 Mgombea Urais kupitia ACT-Wazalendo, Bernard Membe yuko wapi? Siku zimebaki chache na haeleweki

    Swali: Yupo wapi Bernard Membe? Je, nini kimekwamisha Membe ? Je, Membe alikuwa anatania kugombea uraisi ? Je, ACT Wazalendo walikuwa na matumaini gani kwa Membe? Je, Membe alikuwa kwenye mpango wa kukitokomeza chama cha ACT Wazalendo Tanzania bara? Nini kimefanya ndoto za Uraisi kwa Membe...
  2. Majinzi

    Ajira mpya na changamoto za system

    Hapo imefunguka lakini particulars haizonekani [emoji23][emoji23][emoji23]
  3. Majinzi

    Ajira mpya na changamoto za system

    Duu huu mchezo wanaoucheza sio poa yaani nimekesha lakini wapi Ikifungua inaleta mizengwe mingne mara details hazionekani shida tupu
  4. Majinzi

    Ajira mpya na changamoto za system

    Tangia tar 7 serikali kupitia tamisemi ilitangaza rasmi kifungua dirisha la kutuma maombi ya ajira kada ya Ualimu. Lakini cha ajabu system yao imekuwa kizungumkuti, ukiingia inaload tu haifunguki Na hatapale unapoivizia usiku ikifungua kuna vipengele vinakuwa havifunguki. Je, hii changamoto...
  5. Majinzi

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Bayern ni Thiago Thiago asipotembea Barcelona inashinda game kirahisi tu... Ili Bayern icheze Thiago ndo mchezeshaji Hawa akina Lewendoski sijui Glaby sijui nani ni Wakawaida sana mbele ya Barça [emoji23][emoji23][emoji23]
  6. Majinzi

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Unajichanganya sana Kwa kulinganisha individual achievement na Collective achievement Tunapozungumzia performance kuna individual performance na Collective performance... Hapa unapogusia makombe hayo ni Collective Performance.. Kuanzia mfagiaji hadi Uongozi wa juu... Ndo maana Team...
  7. Majinzi

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Messi's goal and assist stats for every La Liga season [emoji41] Yellow: [emoji117]Goals Red: [emoji117]Assists Wasatani wa kuscore ni goals 30+ Messi amehusika jumla ya Goals 40+ msimu huu, unaposema ufungaji umepungua unataka kumaanisha nini wakati jamaa amekuwa bora zaidi kusaidia Team...
  8. Majinzi

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Hizo statistics zipo mitandaoni unaweza Google
  9. Majinzi

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Aliyesema Messi kashuka kiwango nani? Mchezaji anayeongoza Ufungaji kwenye League unawezaje sema aondoke? Messi anaongoza kwa Assists unawezaje mnalaumu? Unataka Messi akawe baki? Kiungo hadi goalie? Tatizo lipo wazi board ya Barça iachie ngazi
  10. Majinzi

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Hivi unajua Messi ni zaidi ya mchezaji wa Barça? Hivi unajua La Liga nzima kwa sasa inabebwa na Messi? Hivi unajua dunia nzima Inamwangalia Messi? Yaani upuunzi wa Uongozi kufanya sajili za Kibuuzi mzigo umwangukie Messi Ubinafsi wa Messi upo wapi? Kuendelea kubaki kwenye team ndo...
  11. Majinzi

    Maajabu ya Korea Kaskazini

    Kwa huyu Dada ake ndo ana ruhusa ya kutumia Twitter? [emoji23][emoji23][emoji23] Hebu kuweni serious, Pamoja na hayo tufahamu kuwa hizo instagram, Fb, Twitter nk si lazma ziwepo kila nchi Kuna nchi zinatumia platform zingne.. Unawezaje kusema hawatumii mitandao ya kijamii...
  12. Majinzi

    Benchi la ufundi Simba

    Wakati mwingne unatakiwa kukubari marokeo na kumheshimu mpinzani, Ukweli ni kwamba yanga walituzidi kimbinu Matokeo ya Simba Vs Yanga R. Madrid Vs Barça Man Utd Vs Man City Zote hizo zimeamuliwa kimbinu na bahati pia lakini haina maana Team zilizoshinda ni bora kuliko...
  13. Majinzi

    Ni wakati gani huwezi kumuadhibu mkosaji?

    Ninadhani ametoa adhabu kujinadi hasa Kwa namna ya mfumo ulivyo kwa sasa (politics) Amelitumia jukwaa kwa faida yake binafsi pasipokujari nafasi (haki) ya muazibiwa Amepuyanga[emoji848][emoji848] Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Majinzi

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Ukiona huna uwezo wa kubeba ubingwa basi kamia mpige bingwa then endelea na utaratibu wa kawaida[emoji23][emoji23] Alisikika mlevi mmoja akiwa kibanda umiza Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Majinzi

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Barça kwa sasa inahangaika, ni kama inabahatisha kwenye usajili yaani haielewi inachofanya Kila sajili wanayofanya inakuwa ina mshaka.... Ni ajabu sana kuona Barça ya sasa haijui ubora wa wachezaji wenye sifa ya kucheza Barcelona Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom