Ikiwa shinikizo lako la damu siyo la juu sana, dawa siyo lazima. Unaweza kushauriwa kuhusu kubadilisha mfumo wa maisha, mfano.. kupunguza uzito, kufanya mazoezi, kuacha matumizi ya pombe/sigara, mambo ya vyakula nk...
Ikiwa shinikizo lako la damu ni la juu sana dawa ni lazima. Dawa zinazoweza...
1. Homa ya ini (Hepatitis), VVU etc.. kwa sababu umekuwa exposed kwenye bodily fluids/biofluids.
2. Uwezekano upo japo ni mdogo sanaaa (almost negligible).
3. Possibility inaongezeka especially kama una mchubuko/kidonda (port of entry).
4. Inategemeana na mzunguko wake hedhi. Wale wa siku...
Daaaah, this is too low for you.
Majority ya hii makala kaandika mzee wa jambia.
Badala ya kutoa hata credit, umeamua uifanye kama vile ya kwako.
Sawa unataka kutuonyesha Arsenal ilivyo bora ila hiki ulichokifanya ni plagiarism!! Vitu kama hivi vinafanywa na watu wenye uwezo mdogo wa kufikiria...
Bei ya Havertz na Højlund ni almost the same. Havertz ambaye katika misimu yote aliyocheza Chelsea hajawahi kuvuka goli 10 per season (kwenye ligi) pamoja na kuchezeshwa kama forward. Last season kaanza kwenye mechi 30 kaishia goli 7. Højlund ambaye kaanza mechi 20 ana goli 9.
Na bado unapata...
Ni ujinga huu huu ulimfanya Hamis ajiaminishe kwamba wakienda Anfield watampiga Liverpool endapo akicheza mpira wa kupishana nao, mwisho wa siku mkaambulia sare.
Ni ujinga huu huu ulimfanya Hamis atambe kwamba wakienda Etihad watampiga Man city afu watangaze ubingwa, kilichotokea almanusura...
Hapo ndo huwa namshangaa huyu jamaa Hamis.
Baada ya kuwafunga MLS All stars, akaleta hadi head to head ya hiyo timu(MLS) na timu zingine za Ulaya miaka ya nyuma ila ku justify wao ni bora. Kabla ya mechi umetamba kinoma, baada ya kufungwa unaanza ngonjera na taarab.
Ujinga ni kudhani kwamba...
Kushtukiza wapi bhn. Sijui matokeo ya mwisho yatakuwaje ila first half man u wamecontrol mechi.
Give credit where it is due. Shida yako ni kwamba hutaki ku acknowledged hatua ambazo Man u imepiga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.