verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,127
- 6,179
Mzenge ulipiga kavu?
Aaaghh una moyo qmmmq
Aaaghh una moyo qmmmq
Kwani nilijua damu zitatokaMzenge ulipiga kavu?
Aaaghh una moyo qmmmq
"Baada ya kuingiza machine, na kupiga tako kadhaa , ndio tukaona damu"Wakuu
Jana nimekutana na dem yupo bleed,
Maswali
1. Je naweza kupata risk gani kwa zile damu zake ?
2. Anaweza kupata mimba akiwa kwenye hali ya ku bleed?
3. Vipi kuhusu possibility ya kupata ngoma
4. Je ni baada ya muda gani anaweza kupata mimba baada ya bleed kukata?
Nb. Baada ya kuingiza machine, na kupiga tako kadhaa , ndio tukaona damu..
Means , bleeding ilianza nikiwa kwenye show before alikuwa clean .
Ikabidi ni stop show
Sio kwamba nili plan kuichapa huku nikijua ana bleed
1. Homa ya ini (Hepatitis), VVU etc.. kwa sababu umekuwa exposed kwenye bodily fluids/biofluids.Wakuu
Jana nimekutana na dem yupo bleed,
Maswali
1. Je naweza kupata risk gani kwa zile damu zake ?
2. Anaweza kupata mimba akiwa kwenye hali ya ku bleed?
3. Vipi kuhusu possibility ya kupata ngoma
4. Je ni baada ya muda gani anaweza kupata mimba baada ya bleed kukata?
Nb. Baada ya kuingiza machine, na kupiga tako kadhaa , ndio tukaona damu..
Means , bleeding ilianza nikiwa kwenye show before alikuwa clean .
Ikabidi ni stop show
Sio kwamba nili plan kuichapa huku nikijua ana bleed
Mkuu asante kwa majibu mazuri. Inaonekana ndio field yako1. Homa ya ini (Hepatitis), VVU etc.. kwa sababu umekuwa exposed kwenye bodily fluids/biofluids.
2. Uwezekano upo japo ni mdogo sanaaa (almost negligible).
3. Possibility inaongezeka especially kama una mchubuko/kidonda (port of entry).
4. Inategemeana na mzunguko wake hedhi. Wale wa siku 21, siku za hatari zinawahi kufika ukilinganisha na wale ambao mizunguko yao huchukua siku 28-35
NB: Ukitoa suala la hygiene, kama afya zenu zipo vizuri na hamna kinyaa , hakuna shida yoyote kufanya sex wakati wa period. Infact inamsaidia hata mwanamke interms of mood (mood stabilizer) kwa sababu ya vichocheo ambavyo mwili huvitoa wakati wa tendo.