Timu ya wacheza sodo hii, hapa timu hakuna nafikiri msimu huu Wala watu wasijipe presha ya Bure Kwa timu hii...hapo ndipo utakapoona kuwa hii timu Haina hata mchezaji wa maana wa kujivunia, wakati watu wapo serious na football mgt hii timu ilikuwa inakenua meno hahaha
Hadi unatamani tungecheza kama Chelsea vile, unatufunga na sisi tunakufunga yaani hatuogopi chochote kile nyie njooni na sisi tunakuja tena Kwa nguvu, liwalo na liwe...
Wazee hapa hamna timu tuacheni masihara, mpira Kila mtu anauona, Kuna timu unaziona zinafungwa lakini unaona kabisa wana Ari ya kucheza na kutafuta goli, Yani UTD imekuwa timu mbovu namna hii?, timu hata Ipswich town wanaweza kutamani kucheza nazo, Kwa mpira huu natamni sana tusishiriki hata...
Ushabiki wa kiasi ni mzuri unakukutanisha na watu wengi...nenda sehemu ya maana ya ulabu mjini, then subiri hadi saa nne usiku Leo hii uburudike na boli kutoka Uwanja wa Wanda metropolitano kati ya Real Madrid vs Atletico Madrid.
Wape ushirikiano, Kuna mdau nilimwambia humu kuwa Kuna operesheni inapigwa kali ili kupoza joto hili, Kuna utakaowasikia kuwa wamekamatwa au kuuawa na wengine watapotea kimyakimya, hivyo basi hata Kama si panyaroad kuwa mtulivu hasa usiku dsm, Kuna bahati mbaya zitatokea ila zinaepukika Tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.