Recent content by Maili tatu

  1. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Timu ya wacheza sodo hii, hapa timu hakuna nafikiri msimu huu Wala watu wasijipe presha ya Bure Kwa timu hii...hapo ndipo utakapoona kuwa hii timu Haina hata mchezaji wa maana wa kujivunia, wakati watu wapo serious na football mgt hii timu ilikuwa inakenua meno hahaha
  2. M

    Naombeni kujibiwa maswali haya na kupewa ufafanuzi zaidi kwa yeyote anayejua

    Kupona ni imani, mwenye imani yoyote ile duniani anaweza kupona bila hata kuomba Kwa mungu wa waislamu na wakristo.
  3. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hadi unatamani tungecheza kama Chelsea vile, unatufunga na sisi tunakufunga yaani hatuogopi chochote kile nyie njooni na sisi tunakuja tena Kwa nguvu, liwalo na liwe...
  4. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Wazee hapa hamna timu tuacheni masihara, mpira Kila mtu anauona, Kuna timu unaziona zinafungwa lakini unaona kabisa wana Ari ya kucheza na kutafuta goli, Yani UTD imekuwa timu mbovu namna hii?, timu hata Ipswich town wanaweza kutamani kucheza nazo, Kwa mpira huu natamni sana tusishiriki hata...
  5. M

    Ipo siku yaja Buguruni itawaka moto utakaoshitua ulimwengu. Amini hilo

    Eti wengine na fegi mdomoni aisee ni hatari hii.
  6. M

    Je, kampuni Kemexon ya Ubelgiji ndiyo inayoiba mafuta na Gesi ya Mtwara?

    Hong Kong ndio lango kuu duniani la kupitisha pesa chafu zozote zile na za ujanjaujanja, nje ya mada.
  7. M

    Wadada mnaotaka kuolewa. Chondechonde msiolewe na wanaume wanaoshabikia mpira. 98% hufa masikini kabisa

    Ushabiki wa kiasi ni mzuri unakukutanisha na watu wengi...nenda sehemu ya maana ya ulabu mjini, then subiri hadi saa nne usiku Leo hii uburudike na boli kutoka Uwanja wa Wanda metropolitano kati ya Real Madrid vs Atletico Madrid.
  8. M

    Wadada mnaotaka kuolewa. Chondechonde msiolewe na wanaume wanaoshabikia mpira. 98% hufa masikini kabisa

    Huu utafiti umefanyika lini na wapi na kwa kutumia sample zipi?.
  9. M

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Dunia yote ije Leo kuangalia mpira wa dunia, mpira wa kisasa uliojaa ufundi utapigwa Wanda metropolitano...
  10. M

    Polisi watangaza kuwaua Panya Road sita Dar e Salaam waliokuwa wanatumia Noah

    Hawa nafikir walikaidi amri, walitaka kushambulia nao pia.
  11. M

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Saa ngapi hii game..
  12. M

    Polisi watangaza kuwaua Panya Road sita Dar e Salaam waliokuwa wanatumia Noah

    Wape ushirikiano, Kuna mdau nilimwambia humu kuwa Kuna operesheni inapigwa kali ili kupoza joto hili, Kuna utakaowasikia kuwa wamekamatwa au kuuawa na wengine watapotea kimyakimya, hivyo basi hata Kama si panyaroad kuwa mtulivu hasa usiku dsm, Kuna bahati mbaya zitatokea ila zinaepukika Tena...
  13. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Leeds na utd ni vurugu zinanukia, Utd timu nyingi epl zina uhasama nao.
  14. M

    Brendan Rogers atapona ?

    Bavaria wananiangusha sana Yani ni takataka kabisa.
Back
Top Bottom