figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Salaam wakuu,
Hivi karibuni tumeshuhudia Meli zikianza kubeba Makaa ya Mawe kutoka Mtwara. Watu wakadai Makaa ya Mawe Tanzania inayauza kwa kila tani moja ni Elfu sitini za kitanzania huku Soko la dunia kila tani ni Dola 300 zaidi ya laki saba za Kitanzania. Hivyo ikaonekana huu mkataba ni wa kifisadi.
Hivi Karibuni rais Samia Alitembelea Ubelgiji ambapo ndo Makao Makuu ya Kampuni inayohusika na Kununua Makaa ya Mawe ya Huko Ruvuma na Mtwara.
Je, Gesi yetu ya Mtwara na Mafuta ya Mtwara, hii Kampuni inahusika pia? Kipindi cha Nyumba Dr. Slaa na Magufuli kwa Wakati Tofauti walisema kwamba Mafuta na Gesi kutoka Mtwara hatuna Chetu kwani Mabomba yajengwa Baharini kuelekea Ulaya.
Kampuni inayomilikiwa na Ubelgiji iliyosajiliwa Hong Kong inayofanya biashara zaidi ya mafuta ya petroli, nishati na bidhaa za madini, Kemexon, inasimamia mauzo ya makaa ya mawe kutoka Ruvuma Coal, kusini magharibi mwa Tanzania, hadi Ulaya na Asia.
Tungependa Serikali iseme inavyouza Makaa ya Mawe kama Wanavyotaja bei ya Bamba, Kahawa na Alizeti. Mikataba inafichwa sana.. Ukilalamika wanasema leta mkataba sababu wanajua huwezi kuupata.
Pia, soma:
Thread 'Meli nyingine iliyobeba makaa ya mawe yaondoka kutokea Mtwara kwenda Ulaya' Meli nyingine iliyobeba makaa ya mawe yaondoka kutokea Mtwara kwenda Ulaya
Hivi karibuni tumeshuhudia Meli zikianza kubeba Makaa ya Mawe kutoka Mtwara. Watu wakadai Makaa ya Mawe Tanzania inayauza kwa kila tani moja ni Elfu sitini za kitanzania huku Soko la dunia kila tani ni Dola 300 zaidi ya laki saba za Kitanzania. Hivyo ikaonekana huu mkataba ni wa kifisadi.
Hivi Karibuni rais Samia Alitembelea Ubelgiji ambapo ndo Makao Makuu ya Kampuni inayohusika na Kununua Makaa ya Mawe ya Huko Ruvuma na Mtwara.
Je, Gesi yetu ya Mtwara na Mafuta ya Mtwara, hii Kampuni inahusika pia? Kipindi cha Nyumba Dr. Slaa na Magufuli kwa Wakati Tofauti walisema kwamba Mafuta na Gesi kutoka Mtwara hatuna Chetu kwani Mabomba yajengwa Baharini kuelekea Ulaya.
Kampuni inayomilikiwa na Ubelgiji iliyosajiliwa Hong Kong inayofanya biashara zaidi ya mafuta ya petroli, nishati na bidhaa za madini, Kemexon, inasimamia mauzo ya makaa ya mawe kutoka Ruvuma Coal, kusini magharibi mwa Tanzania, hadi Ulaya na Asia.
Tungependa Serikali iseme inavyouza Makaa ya Mawe kama Wanavyotaja bei ya Bamba, Kahawa na Alizeti. Mikataba inafichwa sana.. Ukilalamika wanasema leta mkataba sababu wanajua huwezi kuupata.
Pia, soma:
Thread 'Meli nyingine iliyobeba makaa ya mawe yaondoka kutokea Mtwara kwenda Ulaya' Meli nyingine iliyobeba makaa ya mawe yaondoka kutokea Mtwara kwenda Ulaya
Eti STAMICO wanauza Makaa ya Mawe tani moja kwa Tsh 60,000/= Mkataba huu Uvunjwe
Salaam Wakuu, Imedaiwa Eti, Tanzania kupitia Stamico tumesaini mkataba wa kuuza Madini ya Makaa ya Mawe kwa dola 29.5 ambayo ni sawa na Shilingi 69,444 (Elfu sitini na tisa na Mia nne arobaini na nne tu) kwa Tani moja! Bei ya Soko la Makaa ya Mawe kwenye Market Insider ni dola 315 sawa na...
www.jamiiforums.com