Nashinda mapema tuu mbili zangu fresh nasubiri anayefuata
Hivi tetesi za Real Madrid za kutaka kumsajiri Nicolo Zaniolo kama mrithi wa Modrich pale atakapoondoka Madrid, watakuwa wamelamba dume au wamepigwa? Maana inasemekana Don Carlo Ancelotti anamkubali sana.
Sidhani kama club inaweza kumsajili tena mchezaji mwenye matatizo ya majeruhi ya mara kwa mara, Bale na Hazard ni somo tosha., tayari tuna wachezaji wa ku cover hilo eneo so hata usajili utafanyika kwa umakini mkubwa.Nicole Zaniolo ni mchezaji mzuri sana, na anaweza kucheza midfield na forward pia unlikely modric amabye hawezi kucheza mbele. Ila ana tatizo la kuwa majeruhi mara kwa mara hicho ndicho kinbachogopesha.
Jana hatukucheza vizur, ila tulipata matoeo, matokeo kwetu ndio ya muhimu, kuna muda tutashinda kwa kucheza vizuri na kuna muda tutashinda kwa kucheza vibaya, msimu uliopita tulikuwa kwenye hali hii na tukavuka, ni matumaini yangu tukavuka na msimu huu pia.,Naambiwa next ni atm pale wanda. Ushindi wake ni draw tofauti na hapo kafa
Naona slogan yetu siku hizi ni kupata matokeo, masuala ya kucheza tumewaachia man city.Jana hatukucheza vizur, ila tulipata matoeo, matokeo kwetu ndio ya muhimu, kuna muda tutashinda kwa kucheza vizuri na kuna muda tutashinda kwa kucheza vibaya, msimu uliopita tulikuwa kwenye hali hii na tukavuka, ni matumaini yangu tukavuka na msimu huu pia.,
#HalaMadrid
Naona slogan yetu siku hizi ni kupata matokeo, masuala ya kucheza tumewaachia man city.
Fede anazidi kua bora siku hadi siku, ana play roles za kudefense na kuattack kwa ubora wa hali ya juu kabsa.
Kwetu ushindi ni jambo la kwanza, na muhimu, kucheza vizuri huwa inatokea na inategemea pia aina ya mpinzani, kuna team inaingia uwanjani kutibua mipango tu ama kupack bus, Sasa mpinzani wa aina hiyo akikubahatisha goli mnaweza mkatoka droo ama ukafungwa,Naona slogan yetu siku hizi ni kupata matokeo, masuala ya kucheza tumewaachia man city.
Fede anazidi kua bora siku hadi siku, ana play roles za kudefense na kuattack kwa ubora wa hali ya juu kabsa.
Jamaa wanachukizwa na ushangiliaji wake, jamaa huwa akifunga, huwa anashangilia kwa kucheza, so jamaa hawapendi hiyo ishu., maneno yamekuwa mengi sana week hii.,plus inaonekana kama team pinzani wanampania hivi, kama iliyotokea week iliyopita tulipocheza na MallorcaVini imekuaje aisee
Huo ndio ukweli, ila wamejificha kwenye kivuli cha ushangiliaji wake.,Waispaniola ni wapuuzi, wanachukizwa na mchezaji mwenye ngozi nyeusi kuwa bora zaidi kwenye ligi yao. Habari ya kusema ushangiliaji wake unawachukiza ni mfu, wanatamani mhisipaniaola ndo angekuwa na uwezo huo alionao Vini. Wana hukia mafanikio yake, period.
Kama ninaona Vini Jr akikabiliana na wachezaji watano wa Atletico., Cholo akili yake anaijua mwenyewe.,Tupo uwanjani Leo
Halla Madrid