Recent content by maiko salumu

  1. maiko salumu

    TANZIA: Joel Bendera, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara, afariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili

    Mungu amsamehe zambi zake japo si kirahisi kusamehewa huku umekufa
  2. maiko salumu

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Kuna jamaa alishatangulia mbele za haki jina nimemsahau alikua anaimba dance mtindo wa nywele zake nyeupe wimbo ndo naukumbuka jina lake unaitwa jela mnaweza mkanisaidia
  3. maiko salumu

    Tecno W5 Lite

    Sh.ngapi
  4. maiko salumu

    Hongera Steve Nyerere kwa kujitambua

    Lakini hakuwepo kwenye maandano au ndo unafiki wake
  5. maiko salumu

    Kitwanga kutoa shilingi kama Kolomije haijatengewa Fedha za Maji

    Kolomije imekua maarufu ghafla bin vuu
  6. maiko salumu

    Hoja ya Mbowe waliyoidharau wabunge wa CCM imeanza kupata majibu

    Nahamu ya kuchangi maada lakini sina mchango
  7. maiko salumu

    Kutoweshwa kwa Ben Saanane kumehusishwa na Idara ya Usalama wa Taifa, Bunge lichunguze jambo hili

    Tiss kwa sasa ni janga là taifa kama siyo kiongozi was serikali
  8. maiko salumu

    Maneno ya dhahabu kutoka kwa Husein Bashe

    Bashe anajua kusema ukweli
  9. maiko salumu

    Wafuatao wajiandae kutetea majimbo yao kupitia upinzani mwaka 2020

    Umemsahau Dk kafumu huyu hapitishwi hata kwa kurogana
  10. maiko salumu

    Zoezi la kuondoa sport light kwenye magari

    Wakuu naileta kwenu hivi zoezi la uondoaji sport light kwenye magari limeishia wapi au ni kwa ajili ya dar tu huku mikoani halikuwepo naomba nieleweshwe kidogo hapo
Back
Top Bottom