Hivi unaamini nini katika suala la kusema fulani ana "nyota kali".
Je,mafanikio ya mtu ni bidii zake mwenyewe au kudra tu za Mungu?
Na kama muumba anajua yote si inamaanisha kuwa fate ya mtu tayari iko pre-destined
Uchawi ni mambo ya hisia tu,imani za kufikirika..uhalisia unao-exist kwenye mawazo tu,hakuna chochote.
Unaposema ni mchawi,ulijuaje na nini kinachokusababisha uamini hivyo?
Muheshimu huyo baba mkwe wako achana na imani za kufikirika...kwanza amemlea mumeo mpaka hapo alipofikia,muheshimu.
Unaweza kuwa na mwanamke mzuri wa sura na shepu,ila hata akiwa utupu usitamani hata kulala nae,kila unapozikumbuka tabia zake chafu hamu inakuisha.Ila tabia huwa inatengeneza mvuto wa kudumu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.