Mugunga
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 640
- 911
Maelezo yako yanatia mashaka.Haujajibu swali LA msingi,UMEJUAJE KAMA BABA MKWE NI MCHAWI?Kama hauko tayari kujibu swali hili basi unachofanya ni fitina ili upate jinsi ya kuvuruga Ndoa yako.Amini utakavyo, lakini bado hujanipa msaada wa nini cha kufanya, hilo ndilo lilikuwa swali langu. Ingekuwa nimeambiwa na mganga japo ningeishia kwa mganga nisingeuliza hapa, ya nini wakati tayari niko kwa mtaalamu?![]()