Team inakuja na game plan ya kujilinda ikitegemea quickly attack na set pieces
Hamna build up
Hamna ontarget
Hamna offensive pass
Hamna format maalum ya team
Yaani wachezaji wanakimbia kimbia tu, kikosi kizuri lakini coach anategemea matokeo anfield away ameingia na akili ya kufungwa ila zisiwe...
Bayern wachezaji wanacheza kama wamelazishwa vile Lucho na Jackson leo ndo hamna kitu kbisaaaa.
Wanaweza pata goli lakini ushindi au 2UP asimilia ni ndogo sana mkuu
Kuna sababu kadhaa zinazofanya wanaume wengi kufa mapema kuliko wanawake katika jamii nyingi duniani.
Tafiti zinaonyesha wanawake wana umri wa kuishi mrefu zaidi kuliko wanaume na hili ni sahihi kabisa
1. Mtindo wa maisha
Wanaume wengi:
Hutumia pombe kupita kiasi
Huvuta sigara
Hufanya kazi...
Game ya leo mbona laini sana kwetu hii mkuu
Ushindi ni sheria upande wetu Arsenal hamna kitu kaka mbele ya Liverpool fuatilia historia
Overall results 'll be
LIV 3 1 ARS
Dondoo za Leo kuna uwezekano mkubwa sana BUKAYO SAKA asicheze game tano zijazo ikianzia game ya leo hii ni kutokana na majeraha ya hamstring.
Kuhusu MARTIN ØDEGAARD anaweza akapata dakika chache zaidi tofauti na ilivo tegemewa sambamba na hayo pia KAI Havertz anaweza cheza 2nd half pekee sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.