kaka, kunguru anafugika mpe makange tu na piga spakos za kwenda, akijichanganya kosa dogo sana kabia juu ndo ile kesi ya kuku unauza ng'ombe makofi ngumi ndo booster ya ndoa
kichwani ajue kbsa ipo siku utamuua akiishi na ideology hii uzee wa pamoja huu hapa kaka
hili ni swali pana chief na majibu yake yako intellectual sana
kwa kifupi na uelewa wangu mdogo nawza sema
Ajira
uzalishaji wa bidhaa
uwezo wa watu kumudu chakula nyumba afya elimu usafiri na mahitaji mengine kama ngono internet anasa kiujumla
level ya umaskini
kuongezeka kwa kipato baada ya...
mkuu umechimba kisomi sana
nakubaliana na ww kwamba kila currency ina inflation rate na kwamba 1m ya 1980 haiwezi kuwa na purchasing powewr sawa na 1m ya 2026, lakini hoja yangu kubwa ilikuwa ni purching power ya ordinary people.
inflation inapokuwa kubwa kuliko ongezeko la kipato, ht km mtu...
uko sahihi mkuu ukubwa wa mshahara unapimwa kwa mahitaji, nowdays mahitaji ya msingi yani zile basic needs kwa binadamu sio zile tulizofundishwa shuleni, mahitaji muhimu yameongezeka
kwenye maswala ya uchumi kuna kitu kinaitwa mfumuko wa bei( inflation)
hii ndiyo sababu kubwa zaidi thamani ya pesa hupungua kadri miaka inavyokwenda
bei zinapopanda kila mwaka ht mshahara wako unapopanda kidogo unaweza hisi pesa haina uzito kabisa kama zamani
sababu za msingi ni
mfumuko wa bei...
mchumba au mwanamke wa nje siku zote anakuwa anatabia za a liability woman's lakini ukimsweka ndani wewe ndo wakumshape chief piga pin weka misimamo yako ASAP utaona tu kakaa kwenye reli na ata`adopt zile tabia zako na atakuwa asset kwa maisha yako yote
shida haiko kwao ni vile tu tunavovyo...
wanawake tuishi nao kwa akili
wanaume tunakufa kwa mambo mengi sana. lakini kina cha satistifactory ni nchi mbili tu wakuu yote ya nn haya ona sasa!!!!!!!!!!!!
pole sana kaka hawa watu wana mambo mengi sana cha msingi ni kutulia na kuishi nae hvyo hivyo hizo imani binafsi asije tu kupandikiza kwa watoto
cha kuongezea, chunguza vizuri pengine kuna dawa ya kukutuliza na wewe ndani ya nyumba
Team inakuja na game plan ya kujilinda ikitegemea quickly attack na set pieces
Hamna build up
Hamna ontarget
Hamna offensive pass
Hamna format maalum ya team
Yaani wachezaji wanakimbia kimbia tu, kikosi kizuri lakini coach anategemea matokeo anfield away ameingia na akili ya kufungwa ila zisiwe...
Bayern wachezaji wanacheza kama wamelazishwa vile Lucho na Jackson leo ndo hamna kitu kbisaaaa.
Wanaweza pata goli lakini ushindi au 2UP asimilia ni ndogo sana mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.