Recent content by mahatmaxlla

  1. mahatmaxlla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Team inakuja na game plan ya kujilinda ikitegemea quickly attack na set pieces Hamna build up Hamna ontarget Hamna offensive pass Hamna format maalum ya team Yaani wachezaji wanakimbia kimbia tu, kikosi kizuri lakini coach anategemea matokeo anfield away ameingia na akili ya kufungwa ila zisiwe...
  2. mahatmaxlla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Liverpool sio team tena ni kikundi cha wahuni
  3. mahatmaxlla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Bayern wachezaji wanacheza kama wamelazishwa vile Lucho na Jackson leo ndo hamna kitu kbisaaaa. Wanaweza pata goli lakini ushindi au 2UP asimilia ni ndogo sana mkuu
  4. mahatmaxlla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Imani kaka kwa macho huo mkeka umewin vinginevyo ni matokeo ya soka
  5. mahatmaxlla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanaume hufa mapema kuliko wanawake?

    Kuna sababu kadhaa zinazofanya wanaume wengi kufa mapema kuliko wanawake katika jamii nyingi duniani. Tafiti zinaonyesha wanawake wana umri wa kuishi mrefu zaidi kuliko wanaume na hili ni sahihi kabisa 1. Mtindo wa maisha Wanaume wengi: Hutumia pombe kupita kiasi Huvuta sigara Hufanya kazi...
  6. mahatmaxlla

    JamiiForums Tanzania Rostam Maelezo yake yamenyooka na yanaeleweka. Huenda Mtangazaji ndiye ameshindwa kumhoji

    Hawa watu wako smart sana kwahyo kuwaelewa lazima uwe very very very smart
  7. mahatmaxlla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    🤣🤣🤣🤣 oya na hizo ndevu watakuwa ndugu hawa
  8. mahatmaxlla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    He is a real good player the Reds spirit live in him eventhough he's on another club
  9. mahatmaxlla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Bila shaka.. Kwanini tusishinde sasa
  10. mahatmaxlla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Game ya leo mbona laini sana kwetu hii mkuu Ushindi ni sheria upande wetu Arsenal hamna kitu kaka mbele ya Liverpool fuatilia historia Overall results 'll be LIV 3 1 ARS
  11. mahatmaxlla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Dondoo za Leo kuna uwezekano mkubwa sana BUKAYO SAKA asicheze game tano zijazo ikianzia game ya leo hii ni kutokana na majeraha ya hamstring. Kuhusu MARTIN ØDEGAARD anaweza akapata dakika chache zaidi tofauti na ilivo tegemewa sambamba na hayo pia KAI Havertz anaweza cheza 2nd half pekee sababu...
  12. mahatmaxlla

    JamiiForums Tanzania GE2025 Naomba kujua October tunatick au October tunatoka?

    Tunatoka kwanza alafu tunarudi kutick
  13. mahatmaxlla

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Thus why he isn't mentioned in england squad for worldcup preparation
Back
Top Bottom