heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 8,038
- 13,358
Hadi sasa nipo njiapanda sijui nishike wapi, kwanza nina uchungu kwa tunayofanyiwa na tuliofanyiwa na tutakayofanyiwa yani nimechanganyikiwa hadi pumzi inatoka kwa shida kila nikizunguka Jf ,X, Ig , hasira zimejaa kifuani kinataka kupasuka.
Kwanini sisi wapole tunaonewa hivi au sisi ni wabinafsi Mungu anaamua kutukomesha?
Nataka kujuwa moja tunatoka au tunatick , wanamtandao watuachie nchi yetu kwa amani awataki kuichukuwe kilazima tumechoka tunayofanyiwa
Mama hana uhuru kisa akifanya jambo kuna watu nyuma wanamwambia kumbuka tumefosi uwe apo
Ntahakikisha October narudi nyumbani Tanzania nijue nina tick au nina toka
Kwanini sisi wapole tunaonewa hivi au sisi ni wabinafsi Mungu anaamua kutukomesha?
Nataka kujuwa moja tunatoka au tunatick , wanamtandao watuachie nchi yetu kwa amani awataki kuichukuwe kilazima tumechoka tunayofanyiwa
Mama hana uhuru kisa akifanya jambo kuna watu nyuma wanamwambia kumbuka tumefosi uwe apo
Ntahakikisha October narudi nyumbani Tanzania nijue nina tick au nina toka