Recent content by Magnesium Transient

  1. M

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya dhahabu ambayo kuna WACHINA yapo wilaya gani mkoa wa Singida na Mbeya?

    Singida Wilaya ya Ilamba Maeneo ya Shelui na Misigiri.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Asante kwa kutupa fursa ya kuuliza Nina maswali matatu. 1.Nini hatma ya kaka Msema sana ? 2.Reform zita fanyika Kabla ya uchaguzi mkuu?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kuna Shida Tanesco na Polisi Katika Kuanzisha Maeneo ya Kiutawala ya Kiwilaya na Kimkoa

    Mita mada hivi una tambua hizo taasisi zote zina fanya kazi manual . Tanesco una fikilia ni jinsi gani wana weza kufanya kazi zao za kifundi remote wakati kazi zao zote manual. Polisi wana fanyaje kazi zao Automatic toka huko mbali. Mimi binafsi kwa aina ya kazi zao wana stahili kuendelea...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni mshangazi kupungua kilo 10 chap!

    Fanya haya na matokeo uta ya pata. 1.Acha vyakula vya wanga mwepesi bali tumia wanga mgumu zilizo chemshwa Mihogo,Magimbi ndizi ( mbichi ),viazi sio vya chips. 2.Achana na vyakula vyote vinavyo tokana na ngano yani chapati,Maandazi,visheti nk 3.Achana na vitu vya Sukari kabisa kama chai,Soda...
  5. M

    JamiiForums Tanzania The dark side of business

    Elimu ya Biashara.
  6. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mkiambiwa Mbowe hatoboi muwe mnaelewa

    Yetu macho mpaka sasa küme zidi kuchangamka.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Miezi mitatu nimetotolesha vifaranga 500 vya kuku wa kienyeji

    Asante kwa kushare nasi hili.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Yoga hii ni 02 January 2025 tupo tuna subili uzi.
  9. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Heche kumuunga mkono Lissu asema Lissu ni mkweli, muwazi na muadilifu sana

    Kwa sasa Heche kaisha onyesha upande wake tuna Msubilia Lema.
  10. M

    JamiiForums Tanzania As Man unataka kuwa na furaha 2025 na kipindi chote cha maisha yako kilichobaki basi code ni hizi

    Tunza sana Afya yako kwa kufanya fasting haswa kwa watu kuanzia miaka 40 .
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nissan Dualis zitajiondoa zenyewe sokoni

    Mshana binafsi nikubali mno mada nyingi unazo toa ushauri uwa Ume fanya research kwa unacho kiweka hapa jamvini:
Back
Top Bottom