The dark side of business

The dark side of business

Hivi umesha wai kujiuliza Ngamia uyo walimahanisha nini.
Ule mfano wa Ngamia kupita kwenye tundu la sindano ni hivi.
Lile hekalu lina milango miwili mashuhuri.
Mmoja unaitwa mlango mzuri na mwingine unaitwa tundu la sindano.
Sasa Kuna muda ikifika jioni ule mlango mzuri huwa unafungwa ni kama geti la kushusha kutoka juu.
Halafu mlango unaoitwa tundu la sindano hufungwa nusu.
Sasa ili wafanyabiashara au matajiri wenye ngamia waweze kuingia hekaluni kufanya ibada inabidi wale ngamia wapite kwa kupiga magoti au kusota chini.
Ndio ule msemo kuwa ni rahisi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko Tajiri kurithi Ufalme wa Mbingu.
Watu wengi waliutumia huu mfano vibaya kutisha watu kuwa matajiri hawataona mbingu.
 
Hakuna sehemu yoyote nimesema ninaamini uchawi, nilichosisitiza ni kuacha room ya majadiliano kwenye mada husika na sio KUBISHA kama ulivyosema.

"Badala ya KUBISHA, mhoji akuthibitishie"


NB: Comment yako imeibua swali fulani, ninaomba nikuulize:-

Je, unaamini kwamba KILA KITU kilichopo duniani kinaweza kuthibitishwa na kuelezewa kisayansi bila kuacha chembechembe za uncertainties,na kwamba sayansi ndio njia pekee?

Maana umesema kamwe huwezi amini kitu ambacho hakijathibitishwa kisayansi.
mkuu kwema? yule mtu wetu wa Igombe bado ana matokeo mazuri?
 
Ule mfano wa Ngamia kupita kwenye tundu la sindano ni hivi.
Lile hekalu lina milango miwili mashughuri.
Mmoja unaitwa mlango mzuri na mwingine unaitwa tundu la sindano.
Sasa Kuna muda ikifika jioni ule mlango mzuri huwa unafungwa ni kama geti la kushusha kutoka juu.
Halafu mlango unaoitwa tundu la sindano hufungwa nusu.
Sasa ili wafanyabiashara au matajiri wenye ngamia waweze kuingia hekaluni kufanya ibada inabidi wale ngamia wapite kwa kupiga magoti au kusota chini.
Ndio ule msemo kuwa ni rahisi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko Tajiri kurithi Ufalme wa Mbingu.
Watu wengi waliutumia huu mfano vibaya kutisha watu kuwa matajiri hawataona mbingu.
Mbona tunaambiwa ngamia ni ile kamba kubwa inayotumika kufungia nanga za kwenye meli?
 
W
hivyo vitu vingine hawawezi kukuambia abadani, wewe utaona sijui management sijui kitu gani, e.t.c ! Ili udumu kwenye biashara na mafanikio lazima ujue Siri Za Ulimwengu wa Roho na uwe kwenye upande mojawapo kati wa hizi ( Ulimwengu wa Nuru au Ulimwengu wa Giza). Hakuna biashara inayofanikiwa yenyewe bila kuwa na nguvu zinaendesha hizo biashara.

Naomba nikuulize swali! Je wewe Unamiliki biashara yako kama kampuni?, Real estates? au hata hizi za kawaida?

Kama Bado una long way to go kujua Siri za biashara katika ulimwengu wa roho ili uweze Ku sustain! Na hichi ndicho huwezi kufundishwa Shule.

Usije ukaingia kwenye biashara kichwa kichwa kesho unatembea na boxer siku pale unapoona 50M, 200M zinapokatika kama maji ndani ya 3 months..e.t.c
Well said bro💪
 
ITS CRAZY JINSI WATU WANAVYOTUPIANA MADONGO HUMU.

ILA NINGEPENDA KUWAKUMBUSHA KUWA TUSIPENDE KUAMINI TUNAYOAMINI KUWA NDIO YENYE UHAKIKA 100%

USIMTUKANE MTU ANAYESEMA ANAWEZA KUPATA PESA KWA LUCIFER

USIMTUKANE MTU ANAEKUAMBIA PESA NI MBINU NA JITIHADA YAKO PEKEE

USIMTUKANE MTU ANAYESEMA YEYE ANASALI NA MUNGU ANAMFUNGULIA NJIA ZA PESA.

EBU JIULIZE KAMA WEWE NIMJUAJI WA KUJIAMINI , EBU TAJA SIKU YAKO UTAKAYOKUFA, OK HAUIFAHAMU, NI SIRI KUBWA, HIVYO HIVYO KUNA MAMBO YAPO NA HADI UNAKUFA UTAKAA KUYAJUA.

SO, TUWE OPEN MINDED, TUSIJIFANYE WAJUAJI SANAAAAA
Umetisha sana kaka
 
Ule mfano wa Ngamia kupita kwenye tundu la sindano ni hivi.
Lile hekalu lina milango miwili mashuhuri.
Mmoja unaitwa mlango mzuri na mwingine unaitwa tundu la sindano.
Sasa Kuna muda ikifika jioni ule mlango mzuri huwa unafungwa ni kama geti la kushusha kutoka juu.
Halafu mlango unaoitwa tundu la sindano hufungwa nusu.
Sasa ili wafanyabiashara au matajiri wenye ngamia waweze kuingia hekaluni kufanya ibada inabidi wale ngamia wapite kwa kupiga magoti au kusota chini.
Ndio ule msemo kuwa ni rahisi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko Tajiri kurithi Ufalme wa Mbingu.
Watu wengi waliutumia huu mfano vibaya kutisha watu kuwa matajiri hawataona mbingu.
Acha kutudanganya, mfano wa ngamia unaozungumziwa katika maandiko ni kamba kama zile wanazotumia melini.
 

Attachments

  • IMG_4926.jpeg
    IMG_4926.jpeg
    451.8 KB · Views: 37
Acha kutudanganya, mfano wa ngamia unaozungumziwa katika maandiko ni kamba kama zile wanazotumia melini.
What is the meaning of a camel going through the eye of a needle?


The "Eye of the Needle" was indeed a narrow gateway into Jerusalem. Since camels were heavily loaded with goods and riders, they would need to be un-loaded in order to pass through. Therefore, the analogy is that a rich man would have to similarly unload his material possessions in order to enter heaven.
Nime copy somewhere.

Siku nyingine umiza kichwa kufanya utafiti.
 
hivyo vitu vingine hawawezi kukuambia abadani, wewe utaona sijui management sijui kitu gani, e.t.c ! Ili udumu kwenye biashara na mafanikio lazima ujue Siri Za Ulimwengu wa Roho na uwe kwenye upande mojawapo kati wa hizi ( Ulimwengu wa Nuru au Ulimwengu wa Giza). Hakuna biashara inayofanikiwa yenyewe bila kuwa na nguvu zinaendesha hizo biashara.

Naomba nikuulize swali! Je wewe Unamiliki biashara yako kama kampuni?, Real estates? au hata hizi za kawaida?

Kama Bado una long way to go kujua Siri za biashara katika ulimwengu wa roho ili uweze Ku sustain! Na hichi ndicho huwezi kufundishwa Shule.

Usije ukaingia kwenye biashara kichwa kichwa kesho unatembea na boxer siku pale unapoona 50M, 200M zinapokatika kama maji ndani ya 3 months..e.t.c
So that being said inamaanisha wadhungu mambo yao ya ndumba na imani ya mwanga ni kali kuliko sie? Maana biashara zao ni za ukwwli (manufacturing) wakati zetu huku ni za subsistence
 
Back
Top Bottom