Huyu mzee kweli yasemwayo hapo juu yaweza kuwa yana ukweli kwa maaana ana utemi flani ambao kama si mshirikina huwezi thubutu. Hii ya kkuwa yuko na Maige kibiashara hili nadhani kuna hhaja ya kulifanyia kazi kwa maana haiwezekani akabisa kuwa na nguvu kiasi hicho mpaka hata vyombo vya dola...
Hii kweli ni Kali ndani ya Bulyanhulu. Hivi Luna migodi mingapi hapa Tanzania mpaka uthajwe mgodi wa Bulyanhulu peke yake?
Hapo kuna ukweli ndani take japo Magunila na Magovongo hawapo mgodini ila Luna virus engine wapo inabidi uongozi was mgodi na Taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa ifanye...
Mimi nadhani ingekuwa vyema kwa wabunge tuliowachagua sisi wangejikita kutetea wananchi waweze kupata habari na pia kuelimika kwa maana ukuizingatia mambo mengi sana siku hizi tunayapata kupitia mitandao mbailimbail ya kijamii na kama wameamua kubana huko nashindwa kupata jibu tutalimbilia wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.