Kweli nimeamini wanawake mwalimu wao ni marehemu

Kweli nimeamini wanawake mwalimu wao ni marehemu

Mwinjilist mtume nabii

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2015
Posts
2,437
Reaction score
1,100
Jamani nilikuwa nampa mshahara wote anapanga yeye, lakini alikuwa akikasirika hapiki cku3,4 hadi 5 na hela nimempa. alikuwa wakati mwingne hadi ananipiga lkn mm simrudishii, alinionea sana kwa sababu ya wokovu wangu.

Sasa akalewa si akajua wanaume wote wapo hivyo siku akadanganywa na jamaa kuwa hana mke wakati ana famlia akaondoka nyumbani akapangiwa chumba.

Lakini cha ajabu toka amepangiwa chumba jamaa hajawahi kulala hapo maana ana mke. lakini yeye hajiulizi aaaah. leo anajuta amekuwa kama "kifuu cha nazi" na mimi nimemwambia "siwezi kushona tambala la kupigia deki"; amekwisha olewa mara 2 ameshindwa na anashindwa kuniingia anaogopa Wokovu wangu.
 
Illovo

Wanawake wote marehemu???? Hivi wewe maiti ulijuaje???

Pumzika kwa amani we nyamafu uliyekufa kibudu.

Shenzy zako na robo. Marehemu ni mama yako, bibi yako, shangazi yako na michepuko yako.

Mungu aendelee kuwabariki wanawake ambao si nduguzo.

Keimamae zako tena na tena. Maiti wewe......
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wote marehemu???? Hivi wewe maiti ulijuaje???

Pumzika kwa amani we nyamafu uliyekufa kihudu.

Shenzy zako na robo. Marehemu ni mama yako, bibi yako, shangazi yako na michepuko yako.

Mungu aendelee kuwabariki wanawake ambao si nduguzo.

Keimamae zako tena na tena. Maiti wewe......

Najua unaongea huku uko aidha kinenani au juu ya kiti cha kaunta ya Facebook au Bar mpya
 
Wanawake wote marehemu???? Hivi wewe maiti ulijuaje???

Pumzika kwa amani we nyamafu uliyekufa kibudu.

Shenzy zako na robo. Marehemu ni mama yako, bibi yako, shangazi yako na michepuko yako.

Mungu aendelee kuwabariki wanawake ambao si nduguzo.

Keimamae zako tena na tena. Maiti wewe......


Yaan Umeingia Chumbani Kwa Wazazi Wako, Nakupa Cku3 Utapotelewa Na Vitu Vya Thamani, Na Utaugua Ugonjwa, Haunijui unadhani ninavyosema ni mchungaji ni utani eeee!!! Kwa Kuwa Umemtukana Mungu Ktk Jina La Yesu Kristo, Nimeomba yakupate hayo. na mungu anaethiaitisha neno la mtumishi wake na akuthibitishie
 
Duuuhh mbona hivyo tena kiongozi, hujui siku hizi Kuna wababa wa "nyumbani". Wewe watukane kina mama ila wakigeuza uzi lawama utazibeba.
 
Wanawake wote marehemu???? Hivi wewe maiti ulijuaje???

Pumzika kwa amani we nyamafu uliyekufa kibudu.

Shenzy zako na robo. Marehemu ni mama yako, bibi yako, shangazi yako na michepuko yako.

Mungu aendelee kuwabariki wanawake ambao si nduguzo.

Keimamae zako tena na tena. Maiti wewe......

Ha ha ha a ha ha ha ha ha achaa nicheke lkn hakikaa moyonii naumiaaa
 
Wanawake wote marehemu???? Hivi wewe maiti ulijuaje???

Pumzika kwa amani we nyamafu uliyekufa kibudu.

Shenzy zako na robo. Marehemu ni mama yako, bibi yako, shangazi yako na michepuko yako.

Mungu aendelee kuwabariki wanawake ambao si nduguzo.

Keimamae zako tena na tena. Maiti wewe......

Imekuwaje asprini mbona umetukana hivyo :-(
 
Wanawake wote marehemu???? Hivi wewe maiti ulijuaje???

Pumzika kwa amani we nyamafu uliyekufa kibudu.

Shenzy zako na robo. Marehemu ni mama yako, bibi yako, shangazi yako na michepuko yako.

Mungu aendelee kuwabariki wanawake ambao si nduguzo.

Keimamae zako tena na tena. Maiti wewe......

Ndugu hujala ban kweli????
 
Mwokovu wamekugegedea...pole msamehe tu hata Yesu aliwasamehe waliomsulubu
 
Biblia inasema tuwe wapole kama huwa (njiwa) na wajanja kama nyoka
 
Yaan Umeingia Chumbani Kwa Wazazi Wako, Nakupa Cku3 Utapotelewa Na Vitu Vya Thamani, Na Utaugua Ugonjwa, Haunijui unadhani ninavyosema ni mchungaji ni utani eeee!!! Kwa Kuwa Umemtukana Mungu Ktk Jina La Yesu Kristo, Nimeomba yakupate hayo. na mungu anaethiaitisha neno la mtumishi wake na akuthibitishie
LMFAO. Seek help.
 
Yaan Umeingia Chumbani Kwa Wazazi Wako, Nakupa Cku3 Utapotelewa Na Vitu Vya Thamani, Na Utaugua Ugonjwa, Haunijui unadhani ninavyosema ni mchungaji ni utani eeee!!! Kwa Kuwa Umemtukana Mungu Ktk Jina La Yesu Kristo, Nimeomba yakupate hayo. na mungu anaethiaitisha neno la mtumishi wake na akuthibitishie

Amemtukana Mungu kivipi?
 
Wanawake wote marehemu???? Hivi wewe maiti ulijuaje???

Pumzika kwa amani we nyamafu uliyekufa kibudu.

Shenzy zako na robo. Marehemu ni mama yako, bibi yako, shangazi yako na michepuko yako.

Mungu aendelee kuwabariki wanawake ambao si nduguzo.

Keimamae zako tena na tena. Maiti wewe......

Mkuu asante kwa kumwambia ukweli huyo mbwisi! Ila nina hakika wakati unaandika hii comment ulikuwa vyombo haswaa!
 
kuna kitu tu sio bure wa hukusema kwann akasrike au kuomdoka kwake
 
Amemtukana Mungu kivipi?


Kumtukana Mt.Mungu Ni Kumtukana Mungu. Ww Mwenyewe Unajua Mm Cjawah Kupost Wala Kucomment Kitu Nje Na Maadili Ya Kimungu. Mada Nyng Naziona Lkn Huwa Napita Tu Kutokana Na Nafasi Yangu, Sio Kwamba Cwez
 
Back
Top Bottom