barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,811
Wacha muvi iendelee
Hahahaaaaa! Hatimaye UMEKAA tena kwa lazima! Fikisha salam kwa MR.PRESIDENT, stanlthecreator, crocodileteeth, TEAMlowasa na wengine!
Last edited by a moderator:
Wacha muvi iendelee
Naiona serikali yenye vitisho kwa jamii ya chini,yenye kigugumizi tena katika kupambana na ufisadi,yenye majigambo yasiyo na tija,yenye kuogopa untouchable fisadi figures kama zile za kule Bariadi na hasa ukizingatia huu msemo huko ''Owa Kaya"hivyo Watanzania tujiandae tena na miaka kumi mingine ya Maangaiko kama tutamchagua JPM.Magufuli ni janga jingine kwa watanzania,nje ya nchi sana sana anajuana na ODINGA.
Hatutaki safari za kujitambulisha nje ya nchi..
Ikulu haina maamuzi ya haraka haraka kama TANROAD.
Mkuu CCM waliingia Dodoma wakiwa vipandevipande ila wanatoka huko wakiwa kitu kimoja. Magufuli anakubalika kotekote. Na Lowassa atasimama na kusema amevunja kundi lake na sasa ni kundi moja la CCM.Wadau
John Joseph Magufuli,haja_experience ktk diplomacy economic kama LOWASSA na MEMBE..kuna kazi ya ziada mbele ya UKAWA ktk kampeni.
Magufuli alipotolewa ktk wizara ya ujenzi hakusikika tena mpaka aliporejeshwa tena..ana uzoefu wa kazi za field zenye kuhitaji mihemko,urais hataweza kwani ni mtu wa casual works.
Kazi imekuwa rahisi kwa UKAWA kwani watakutana na wananchi wenye ghadhabu wanaomuulizia mtu wao ambaye ni EL,tayari kuna taharuki kote nchini ambayo ikitumika na upinzani matarajio ya ccm itakuwa ZERO.
Arusha tayari maeneo mengi bendera za ccm zimeshushwa baada ya 'mtu wao' kukatwa.
Hebu fikiria team ya kampeni ya UKAWA..Mbowe na Makaidi tuwakabidhi kusini,nyanda za juu mpaka Moro,Mbatia tumpeleke Magharibi,Lipumba apige Pwani,wote wawaulize wananchi MTU WENU YUPO WAPI kama propaganda,itawarahisishia kazi.
Hali ya ccm imekuwa mbaya zaidi,hii ni baada ya kumwachia EL kujijenga na hakika itawagharimu na Magufuli wao anayetaka kushinda na kuanza safari za kwenda KUJITAMBULISHA NJE
Huo ndio ukweli lkn sasa naona mwisho wake umetimia
Magufuli ni janga jingine kwa watanzania,nje ya nchi sana sana anajuana na ODINGA.
Hatutaki safari za kujitambulisha nje ya nchi..
Ikulu haina maamuzi ya haraka haraka kama TANROAD.
mikoa ya Arusha, kilimanjaro, mayara wameapa kulipiza kisasi kwa ccm. labda kama lowasa anapita ktk kampeni kuwapoza moyo na kuwabadilisha mioyo, la sivyo, mikoa hiyo yote ni mali ya ukawa.Mikoa ipi hiyo itaje
Ukiona nchi inaongozwa miaka 50 na chama kimoja, hiyo ni nchi ya wajinga.
sijui NA yeye atageuka MR JET 😛lane: