Recent content by Mafeking

  1. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Hii Ndio Mitaa Iliyonipa Pesa Nyingi Kariakoo

    kuna mtu humu alituma kitabu kina muongozo kuhusu mitaa ya kariakoo pamoja na maduka yanayouza bidhaa kwa bei ya jumla achana na mawinga.
  2. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Ijue calendar yako

    hii njia na numerology zinafanya kazi sawa ?
  3. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Ni kheri nimelijua hili nikiwa bado kijana

    Ilo ndiyo jambo la msingi mkuu.
  4. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Ni kheri nimelijua hili nikiwa bado kijana

    mbona kama umenigusa maana me kukaa mjini naona ni shida sana, napenda kukaa sehemu zenye utulivu na ukijani mwingi na ata kama ni nyumba napenda kupanda mboga mboga ilimradi tu kuwe na ukijani na hivi na palni nihamie shamba nikkafuge huko na kulima. ndivyo nnavyopenda huku mjini hapana.
  5. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Chupa zilizojaa mkojo zaidi ya 2,000 zakutwa ndani kwa mama ntilie jijini Arusha

    Kulishawahi tokea tukio kama hili hapo hapo Arusha
  6. Mafeking

    JamiiForums Tanzania HOJA Malipo ya 'Special lumpsum' ya NSSF si ya haki

    nasikia mtaani wanasema et kama mtu alisoma degree ni ngumu kupata yote ataanza na 33.3% kwa miezi 6. mimi nilienda kufungua madai nikaambiwa nisubiri siku 90 alafu ndiyo niende kufungua madai, je nikienda fungua madai nitapewa pesa yangu yote au itakuwa ndiyo hiyo 33.3% na mimi nana uhitaji...
  7. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Usisbiri ajira tu, anza biashara ya vifaa vya baiskeli

    tusaidie na mchanganuo wa bei ya hzo bidhaa ulizoziorodhesha hapo au mtaji wa kiasi gan naweza kufungua biashara ya namna hii.
  8. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua faida za ibada za asili/ matambiko

    Mimi chimbuko langu ni Tarime ila sijawahi kwenda huko ila baba yupo pwani na ndugu wengine wengi wanaishi dar es salaam. Natamani sana nifike Tarime nikaone kaburi la babu yangu na ndugu zake wengine.
  9. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi Morogoro Mjini Mshahara 180,000/= + Internet ya bure

    internet imekuwa ni sehemu ya mshahara.
  10. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Mwezi una siri gani tusio ijua? Je huenda ikawa ndio sababu Marekani walifanya jaribio la kwenda mwezini?

    What we know is just a drop of water and what we don't know is an ocean.
  11. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Bagamoyo Road au Morogoro Road: Wapi bora kununua kiwanja?

    IKwiriri- Rufiji
Back
Top Bottom