Mimi chimbuko langu ni Tarime ila sijawahi kwenda huko ila baba yupo pwani na ndugu wengine wengi wanaishi dar es salaam.
Natamani sana nifike Tarime nikaone kaburi la babu yangu na ndugu zake wengine.
ndiyo mkuu kule ardhi ni cheap sana. 50*100 kama ni kiwanja unapata kwa 3m
na kama ukohitaji pori unaweza pata 60k hadi 100k kwa hekari moja, bei hutofautiana kulingana na eneo mf eneo lenye vyanzo vya maji bei inakuwa juu kidogo.
MAkundi yake na miaka mf. Tiger, Snake, Monkey misimu yake na wana match na makundi yapi.
Upande wa numerology namna ya kuchek life path na destin pamoja na luck numbers
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.