Recent content by Mafeking

  1. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

    Mkuu vipi unaweza kutuelezea soma la numerology na chinese ziodac
  2. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua faida za ibada za asili/ matambiko

    Asante mkuu nitafika hapo makumbusho
  3. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua faida za ibada za asili/ matambiko

    Asante sana elimu yako hii fupi ila sijatoka mtupu nimepata kitu cha kuanzia
  4. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Wizi wa sadaka nyumba za ibada je ni laana ama dini zimeingiliwa?

    Wamechoka kuona wachungaji wanatembelea range huku kondoo wanatembea kwa miguu miaka nenda miaka rudi.
  5. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua faida za ibada za asili/ matambiko

    Nimeanza kupata mwanga japo wengi wanadharau vitu vya asili wakidhani ni uchawai hali ya kuwa ndio asili ya uafrika.
  6. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua faida za ibada za asili/ matambiko

    Nahitaji niijue utamaduni wangu wa kikurya namna ya kutambika. Kama naweza tambika ata eneo nililopo kwasasa au hadi nitakapoenda chimbuko nilipotoka.
  7. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua faida za ibada za asili/ matambiko

    Kuwakumbuka waliotangalia mababu zetu
  8. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua faida za ibada za asili/ matambiko

    Pascal Mayalla min -me Infropreneur
  9. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua faida za ibada za asili/ matambiko

    Ngoja tusubiri
  10. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua faida za ibada za asili/ matambiko

    Habari za Ijumaa wana JF. Mimi leo nimeona nije na hii mada tajwa nahitaji kujifunza mambo ya asili hasa matambiko faida zake pamoja hasara zake kama zikiwepo. Na vitu gani vinatakiwa katika kukamilisha zoezi hilo la kutambika. NB: Mimi asili yangu mkurya itapendeza sana kurya iwe case study...
  11. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Mungu ni Omnipresent, yuko ndani yako! Hivyo Nguvu zake za Kufanya Kila Kitu Unazo. Jifunze Jinsi ya Kuziamsha na Kuzitumia…

    Aifatilie ile series inaitwa DARK me napenda ule msema wa "what we know is a drop of water and what we dont know is an ocean"
  12. Mafeking

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mary Chatanda: Samia angenipa nchi dakika moja, ningeimaliza CHADEMA

    Angewamaliza kivipi?
  13. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuendelea na masomo kwa sababu ya Aviator

    Mkuu acha kumjaza😂😂
  14. Mafeking

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuendelea na masomo kwa sababu ya Aviator

    Pole sana mkuu maana ata mimi nimeshindwa kuacha huu mchezo ila sipo addicted kama wewe, Huu mchezo umenipatia pesa ambazo nimenunua vitu iwe kumbukumbu. Ndio maana tunaambiwa chezea pesa ambayo upo tayari kupoteza. "Probably is fair" 🤣
Back
Top Bottom