Habari za Ijumaa wana JF.
Mimi leo nimeona nije na hii mada tajwa nahitaji kujifunza mambo ya asili hasa matambiko faida zake pamoja hasara zake kama zikiwepo.
Na vitu gani vinatakiwa katika kukamilisha zoezi hilo la kutambika.
NB: Mimi asili yangu mkurya itapendeza sana kurya iwe case study...
Pole sana mkuu maana ata mimi nimeshindwa kuacha huu mchezo ila sipo addicted kama wewe,
Huu mchezo umenipatia pesa ambazo nimenunua vitu iwe kumbukumbu.
Ndio maana tunaambiwa chezea pesa ambayo upo tayari kupoteza.
"Probably is fair" 🤣
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.