YASIYOSEMWA
Member
- Jun 1, 2026
- 31
- 58
Binadamu kama walivyo viumbe wengine kila akifanyacho ni kwa ajili ya kujiweka huru.
Huru dhidi ya magonjwa, njaa, huru dhidi ya mipaka yake ya kiasili, kama kuwasiliana bila kujali umbali, kusafiri na kwenda mbali Zaidi ya uso wa Dunia.
Kimsingi tunapambana ili kuwa huru dhidi ya kanuni za asili.
Mpaka ubadilishaji wa jinsia, mapenzi ya jinsia moja, kuzaa bila uchungu, upandikizaji wa viungo n.k
LAKINI CHA AJABU KADRI TUNAVYOPAMBANA KUWA HURU.,
NDIVYO TUNAVYOZIDI KUWA WATUMWA WA NATURE(ASILI)
Imagine huwezi kaa dakika moja bila simu, huwezi safiri bila Chombo cha moto, Haya Yote yako powered na mazao ya asili.
Huwezi ishi bila miundo ya serikali na Dini.
Uhuru Ni upi...
Kuishi tutakavyo au kuishi kulingana na kanuni za asili?
Huru dhidi ya magonjwa, njaa, huru dhidi ya mipaka yake ya kiasili, kama kuwasiliana bila kujali umbali, kusafiri na kwenda mbali Zaidi ya uso wa Dunia.
Kimsingi tunapambana ili kuwa huru dhidi ya kanuni za asili.
Mpaka ubadilishaji wa jinsia, mapenzi ya jinsia moja, kuzaa bila uchungu, upandikizaji wa viungo n.k
LAKINI CHA AJABU KADRI TUNAVYOPAMBANA KUWA HURU.,
NDIVYO TUNAVYOZIDI KUWA WATUMWA WA NATURE(ASILI)
Imagine huwezi kaa dakika moja bila simu, huwezi safiri bila Chombo cha moto, Haya Yote yako powered na mazao ya asili.
Huwezi ishi bila miundo ya serikali na Dini.
Uhuru Ni upi...
Kuishi tutakavyo au kuishi kulingana na kanuni za asili?