Recent content by mafarisayoo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Je, atajiuzulu kama wanavyotaka?

    Vita vya panzi_________
  2. M

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi haturidhishwi na utendaji wa Afisa Kilimo Wilaya ya Magu, Kata ya Lubugu

    Mtima nyongo. Kiangazi hiki unataka ofisa kilimo awe anashinda wapi
  3. M

    JamiiForums Tanzania Chimbo la vifaa vya umeme Kariakoo

    Globastar isiyo SMART Bei gan?
  4. M

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 3-0 TRA United| Ligi kuu NBC | KMC Complex

    Nani kafunga?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nina mpango wa kumtelekeza mke

    Usimpige chini maana unaimiliki wewe. Hakuna binadamu malaika. Hata wewe unamchiti.
  6. M

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Uume wa mtoto ukidondokewa na kitovu chake huacha kusimama

    Sio kwa mwanaume TU. Kitovu kikidondekea kwa mwanaume hatozaa kabisa
  7. M

    JamiiForums Tanzania FT: Simba Sc 0-1 Azam Fc | NMB Mapinduzi Cup 2026| Nusu Fainali| New Amaan Complex Stadium| 8:15 Usiku

    Refa kawabeba saana KOLOZ. Hii ingelikuwa RED CARD ya pili.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Wengine wanaandika naongea kwa kufoka foka nitachukiwa, nani kawaambia nimekuja kupendwa?

    Labda kaambiwa na wanoko wao wa mitandaoni
  9. M

    JamiiForums Tanzania Marekani yajiandaa kuishambulia Colombia ili kumchukua Rais Gustavo Petro, majasusi wa CIA tayari wapo kwenye miji ya Bogota na Cucuta

    Kama Columbia alipewa vifaa vya kijeshi toka U.S.A Hilo ni janga. Columbia itavamiwa kirahisi saana pia Rais wao atadakwa kama kuku wa mdondo
  10. M

    JamiiForums Tanzania Venezuela yashambuliwa na Marekani

    Ukiwa huna nguvu( Venezuela) inakupasa uwe mpolee na sio kushindana na GIANTS. Maduro watamuua. Wakimuonea huruma watamdaka na kumpeleka USA
Back
Top Bottom