Recent content by mafarisayoo

  1. M

    SI KWELI Uume wa mtoto ukidondokewa na kitovu chake huacha kusimama

    Sio kwa mwanaume TU. Kitovu kikidondekea kwa mwanaume hatozaa kabisa
  2. M

    FT: Simba Sc 0-1 Azam Fc | NMB Mapinduzi Cup 2026| Nusu Fainali| New Amaan Complex Stadium| 8:15 Usiku

    Refa kawabeba saana KOLOZ. Hii ingelikuwa RED CARD ya pili.
  3. M

    Marekani yajiandaa kuishambulia Colombia ili kumchukua Rais Gustavo Petro, majasusi wa CIA tayari wapo kwenye miji ya Bogota na Cucuta

    Kama Columbia alipewa vifaa vya kijeshi toka U.S.A Hilo ni janga. Columbia itavamiwa kirahisi saana pia Rais wao atadakwa kama kuku wa mdondo
  4. M

    Venezuela yashambuliwa na Marekani

    Ukiwa huna nguvu( Venezuela) inakupasa uwe mpolee na sio kushindana na GIANTS. Maduro watamuua. Wakimuonea huruma watamdaka na kumpeleka USA
  5. M

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Weka picha tujifunze kwa kuona
  6. M

    Yuko wapi Naibu Waziri wa Michezo, Paul Makonda?

    Atakuwa kaenda kumchukua na kumleta ANORD SWAZINIGA
  7. M

    Yuko wapi Naibu Waziri wa Michezo, Paul Makonda?

    Atakuwa kaenda kumchukua na kumleta ANORD SWAZINIGA
  8. M

    Ni Ujinga sana Kufa kisa Mange Kimambi

    Kama huandaman subiria wakuteke
  9. M

    PostGE2025 DPP awafutia kesi ya uhaini Niffer na Mika Chavala

    Hata siamin kama wana CCM wanashangaa yanayoendelea nchini Tanzania.
Back
Top Bottom