Recent content by mafarisayoo

  1. M

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Uume wa mtoto ukidondokewa na kitovu chake huacha kusimama

    Sio kwa mwanaume TU. Kitovu kikidondekea kwa mwanaume hatozaa kabisa
  2. M

    JamiiForums Tanzania FT: Simba Sc 0-1 Azam Fc | NMB Mapinduzi Cup 2026| Nusu Fainali| New Amaan Complex Stadium| 8:15 Usiku

    Refa kawabeba saana KOLOZ. Hii ingelikuwa RED CARD ya pili.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Wengine wanaandika naongea kwa kufoka foka nitachukiwa, nani kawaambia nimekuja kupendwa?

    Labda kaambiwa na wanoko wao wa mitandaoni
  4. M

    JamiiForums Tanzania Marekani yajiandaa kuishambulia Colombia ili kumchukua Rais Gustavo Petro, majasusi wa CIA tayari wapo kwenye miji ya Bogota na Cucuta

    Kama Columbia alipewa vifaa vya kijeshi toka U.S.A Hilo ni janga. Columbia itavamiwa kirahisi saana pia Rais wao atadakwa kama kuku wa mdondo
  5. M

    JamiiForums Tanzania Venezuela yashambuliwa na Marekani

    Ukiwa huna nguvu( Venezuela) inakupasa uwe mpolee na sio kushindana na GIANTS. Maduro watamuua. Wakimuonea huruma watamdaka na kumpeleka USA
  6. M

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Weka picha tujifunze kwa kuona
  7. M

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Naibu Waziri wa Michezo, Paul Makonda?

    Atakuwa kaenda kumchukua na kumleta ANORD SWAZINIGA
  8. M

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Naibu Waziri wa Michezo, Paul Makonda?

    Atakuwa kaenda kumchukua na kumleta ANORD SWAZINIGA
  9. M

    JamiiForums Tanzania Tuseme Kenya imewafanyia watanzania kama Boniface Mwangi na Agatha Atuhaire, Mamlaka za Tanzania zingemtoa yeyote kwa Kenya?

    Ila Kenya haiaminiki saana maana walimtoa KIIZA BESIGYE
  10. M

    JamiiForums Tanzania Wakristo, na hasa Wakatoliki kaeni chonjo. Anawamaliza wote!

    Yupo naibu wake
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ni Ujinga sana Kufa kisa Mange Kimambi

    Kama huandaman subiria wakuteke
  12. M

    JamiiForums Tanzania FT' Coastal Union 0: 1 Yanga | NBC Premier League | Jamhuri Dodoma | 07 Dec 2025

    Bila VPN hutoboi kuwemo humu
  13. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Balozi 16 kwa pamoja zaitaka Tanzania kuachia wafungwa wa kisiasa, kusitisha utekaji na kurudisha miili ya waliouawa

    Anawaandalia kichambo. Atawachambaaa mpaka EU wamkome
  14. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 DPP awafutia kesi ya uhaini Niffer na Mika Chavala

    Hata siamin kama wana CCM wanashangaa yanayoendelea nchini Tanzania.
Back
Top Bottom