It took me two years to move on! Hadi nikakukana na kijana mwengine ambae nilimuelezea sutuation na nikamuambia kuwa I am in a process to heal...nae akaniambia take all your time to heal and I'll be right here waiting for you when you are ready! Slowly nikajikuta na fall in love again with this...
Aliniambia kuwa sijawahi kumkosea hata kidogona anajua kuwa nampenda sana kuliko chochote ila ameamua kuwa na mwanamke anaempenda zaidi kuliko mimi....It was very painful to me but I had to accept the fact for the sake of his happiness.
Muungano unahusiana nini sasa hapo na kujaa maji ya bahari? Think big na toa hoja ziloenda shule.
Aidha, jifunze kutofautisha matumizi ya letter "l" na "r". Neno sahihi ni "MABADILIKO" na sio "mabadiriko" kama ulivyoandika hapo.
Na baadhi ya wanaume nao wana kauli za kuchoma. Utamsikia mume wako anakwambia, ni afadhali mke wa fulani akiguswa tu anapata mimba. Wewe hadi leo umeshindwa hata mimba ya bahati mbaya! Jamani, kweli kuna mwanamke kwenye ndoa asiependa kupata mtoto?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.