Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,454
Hivi viroba ulivyokunywa vinaitwa " Jogoo"
Zanzibar ni koloni la TanganyikaIkifutwa Karume day huku, na Nyerere day ifutwe Zanzibar??
You are the great thinker!Hapana! Hii haiko sawa i think, mie ni mfuasi mkubwa sana wa utumbuaji wa sikukuu za umma zisizo na tija ila hii naona bora ibaki tu kwa heshima ya Mama Tanzania.
Karume ni founding father wa TANZANIA kama alivyokuwa Nyerere, hakutakuwa na maana kuifuta Karume day alafu tuendelee kuwa Tanzania.
And the last thing, naona kuna hii tabia ya ubaguzi ambayo inazidi kuota mizizi kadri siku zinavyosonga! Ni kwanini tubaguane kwa utanganyika wetu na uzanzibari wetu?! Nyerere tunayemheshimu alikemea hilo kwa nguvu zake zote, kwann tusimuenzi kwa kuliishi hilo?!
Tukianza kuwabagua wazanzibar kwa uzanzibati wao na tukafanikiwa katika hilo basi tujue hatutoishia hapo, tutakuja kwabagua wahindi, wazungu, wachina na watu wa mataifa mengine, tukimaliza hapo tutaingia hadi kwenye makabila, rangi ya ngozi, urefu na ufupi, utajiri na umaskini and it will never end.
Dhambi ya ubaguzi huwa haina mwisho!
Wishing you all happy public holiday.
Ingekuwa vizuri ungezitaja faida maana kuna wengine hawazijuiToa fikila za kibaguzi, bado muunguno ni hazina kwa tanzania wazungu wamejaribu kuua huu muungano lakini weshindwa. Yule mzee alikuwa na akiri sana.
Haiwezi kufutwa kwanza mnakumbuka haikuwepo! Wazanzibari wakalalamika baada kuanzishwa Nyerere day kuwa mapumziko! Nao wanamuenzi Rais wao wa kwanza na Mwenyekiti wa Balaza la Mapinduzi! Ndani ya Muungano siku hiyo haiwezi kufutwa labda zifutwe zote 2.........(Nyerere day)
Futa Muungano kwanza nayo itaondoka bila kupigizana kelele, venginevyo, ni budi kuivumilia tu hii siku.Leo ni Karume day ambapo huwa sielewagi umuhimu wake kwa huku Tanganyika hadi kuifanya iwe mapumziko. Naona Rais pia kaamua kwenda kuhudhuria kumbukumbu ya mauaji ya halaiki huko Rwanda, nadhani ipo haja ya kuifuta hii siku kwa huku Tanganyika kwani inaongeza tu utitiri wa siku za mapumziko.
Swali la kujiuliza ni kuwa hivi huyo Karume hadi tumkumbuke alitufanyia nini hasa Watanganyika?
mawazo ya aina hii huwa sielewi yanatoka wakati gani. mtu akiwa na akili zake au akiwa kapiga kiroba. kama ivo acheni vipigwe marufuku!hata mimi hushangaa WAZANZIBARI wanaposherehekea NYERERE day !
for what ?
Rwanda ameenda kufanya nini?Zanzibar kufanya nini acha mawazo mgando.