Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,827
- 3,569
Nani aliwazuia Chadema kutuma wagombea watatu kwa mfano? Wagepigiwa kura za kawaida, na wawili wenye kura nyingi wangepita, ambapo hakika mmojawapo wa hao Masha na Wenje angekuwepo. Na most importantly, wote wawili ambao wangechaguliwa ni wa Chadema bado. Wamejitakia. Shida ya Uongozi wa Chadema ni kuwa hawakutaka mbunge kutoka Chadema, walitaka Masha na Wenje. Watu juu ya chama, badala ya watu ndani ya chama. Ikabuma.Denans BAltazar >>>>Sahihi kabisa kwaili mh mbowe ajitizame
Binafs mwanzo nilianza nawalahum ccm lakini kadri mda ulivyokuwa unazidi kusogea nakusikiliza kwauamakini kanuni za uchaguzi huwo nikafunduwa kuna kitu kwaupanda chadema kimefanywa maksudi kuwapitisha wagombea wale.
Mambo haya tumeyazoea kuyaona nakuyasikia ccm sasa yamehamia kwetu.
Gilbert Phillip Kutta>>> BADO HUJAELEWA KILICHOFANYIKA. CHADEMA HAIENDI BUNGE LA EALA KWA MATAKWA BINAFSI YA WABUNGE HUSIKA BALI INAENDA BUNGE LA EALA KWA MKAKATI WA KICHAMA ULIOBEBA UJUMBE WA WANACHADEMA EAST AFRICA. ...KWA MANTIKI HIYO MH. MBOWE HAKUHUSIKA KUFANYA HUO UTEUZI KAMA YEYE BALI ULIFANYIKA KWA MASLAHI YA CHAMA NA TAIFA LETU KWA UJUMLA....HILA WALIZOTUFANYIA CCM NI KUPINGA MATAKWA YA WANACHADEMA KWA UJUMLA NA WAKIWA NA HOFU YA KUTUMBULIWA BUNGENI EALA. HATA HIVYO HAWAKUTUMIA TARATIBU ZA UCHAGUZI ZA BUNGE LA EALA WAKATI CDM ILITIMIZA TARATIBU ZOTE HALALI. HILO NDILO TUNALOZUNGUMZIA HAPA!