jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,748
- 16,358
Kumbe mwatafuta visingizio eeeehMkuu alikuwa na matatizo mengine,ila hilo la ndizi ndo lilikuwa deal breaker
Kumbe mwatafuta visingizio eeeehMkuu alikuwa na matatizo mengine,ila hilo la ndizi ndo lilikuwa deal breaker
Ubahiri.Hem watolee mfano wa jinsi ulivyonipiga chini
Namshukuru Mungu mambo yalikaa fresh thou nilipanic sanauliziclear lakini mkuu?
Kitokee kitendo kitakatifuIlikuwa unataka aje peke yake ili kitokee nini!?
Hilo kweli, uzuri naweza kusimamia visiginoUbahiri.
Yechu bablai,Nilitemaga long time asee kama taksima ya veve
It took me two years to move on! Hadi nikakukana na kijana mwengine ambae nilimuelezea sutuation na nikamuambia kuwa I am in a process to heal...nae akaniambia take all your time to heal and I'll be right here waiting for you when you are ready! Slowly nikajikuta na fall in love again with this guy na mwaka mmoja baadae tukaoana and we lived happily ever after... Hivi sasa mimi ni mama wa watoto wawili.so,maisha yakawaje baada ya hiyo situation?
MPE tu maana huna maamuzi ndo maana unaomba ushauri kwa jambo ambalo tayari umefanya maamuzi ya kumpa,mkuu sample yako ndo huwa wanateswa sana Na wanawake!!Alikuwa hataki niwe karibu nae tuzungumze na kufanya mawili matatu yanayotuhusu! Akiwa ana shida anakuwa mpole wa kunilegezea sauti na unyenyekevu uliotukuka, lakini baada ya kumsaidia ananisahau kabisa mpaka inafika hata week. Siku moja nilimuomba mchezo akawa mkali zaidi ya mbogo aliyejeruhiwa na sime! Nikamvumilia! Juzi nikamuona kapakiwa kwenye shangingi na mtanzania mwenzangu mmoja hivi. Basi bwana nikavunga ingawa niliumia sana....sasa Jana akaja kuniomba msamaha na nikajikuta namkubalia.....sasa Leo anasema anashida na 30000/= sasa hivi nimpe au Nipige chini?
Kaka wewe ni Hospitali hapo, Raia anakukumbuka akiwa na ugonjwa tuAlikuwa hataki niwe karibu nae tuzungumze na kufanya mawili matatu yanayotuhusu! Akiwa ana shida anakuwa mpole wa kunilegezea sauti na unyenyekevu uliotukuka, lakini baada ya kumsaidia ananisahau kabisa mpaka inafika hata week. Siku moja nilimuomba mchezo akawa mkali zaidi ya mbogo aliyejeruhiwa na sime! Nikamvumilia! Juzi nikamuona kapakiwa kwenye shangingi na mtanzania mwenzangu mmoja hivi. Basi bwana nikavunga ingawa niliumia sana....sasa Jana akaja kuniomba msamaha na nikajikuta namkubalia.....sasa Leo anasema anashida na 30000/= sasa hivi nimpe au Nipige chini?
Alikuwa hataki niwe karibu nae tuzungumze na kufanya mawili matatu yanayotuhusu! Akiwa ana shida anakuwa mpole wa kunilegezea sauti na unyenyekevu uliotukuka, lakini baada ya kumsaidia ananisahau kabisa mpaka inafika hata week. Siku moja nilimuomba mchezo akawa mkali zaidi ya mbogo aliyejeruhiwa na sime! Nikamvumilia! Juzi nikamuona kapakiwa kwenye shangingi na mtanzania mwenzangu mmoja hivi. Basi bwana nikavunga ingawa niliumia sana....sasa Jana akaja kuniomba msamaha na nikajikuta namkubalia.....sasa Leo anasema anashida na 30000/= sasa hivi nimpe au Nipige chini?
Ulaku wake mbele za watu
Kumbe ndio wewe maana kuna demu anakuja kwangu kwa msimu nadhani na sasa mmepumzika tena maana niko nae mpaka sikukuu zote ziishe paska muungano eid na birthday yake na yangu ndio atarudi kwako! Ila umemzoesha vibaya sana kupiga mizinga!Mi Dem wng nishashindwa kuachana nae aisee, Tunapumzkaga tu