Ndoa inahitaji umakini wa hali juu kwa upande wa mme na mke. Mke siku zote ndio wa kwanza ktk kumuongoza mme juu ya maswala ya nyumban, ikiwemo usafi, chakula n.k, toka enzi. But, kutokana na maisha yanavobadirika, baba anafanya kaz na mama anafanya kaz, hapa inatakiwa wanandoa wenyewe kujipanga...