Ndoa inahitaji umakini wa hali juu kwa upande wa mme na mke. Mke siku zote ndio wa kwanza ktk kumuongoza mme juu ya maswala ya nyumban, ikiwemo usafi, chakula n.k, toka enzi. But, kutokana na maisha yanavobadirika, baba anafanya kaz na mama anafanya kaz, hapa inatakiwa wanandoa wenyewe kujipanga...
Huyo Hemed ni mwanaume mwenye dharau sana, siku moja anahojiwa radio clouds kaulizwa ni "jambo lipi baya ulilowahi fanya ukiwa shule" eti kwa dharau akajibu nimewahi mtemea mate usoni msichana mbaya, akimaanisha mbaya wa sura. Akaongeza nilikuwa siwapendi wasichana wabaya. Du, alinichefua siku...
Kweli aise, spendi kuona mwana anakata viuno kwenye mziki, hasa hivi vya bongo fleva vinanichefua, mwanaume hawi hivo, unakatika ili iweje, mwanaume mwenzio akuone unajua kukata ili akutaman..lol!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.